Kuna mtafaruku hapa duce,wanafunzi wa mwaka wa tatu wamejikuta wote wanadaiwa ada licha ya kuwa wanapaswa kulipiwa na bodi ya mikopo.chuo kinatupia lawama bodi na bodi inatupia lawama chuo.hali siyo shwari.
Kama vp,wanafunzi wapachimbe tu...wakisubiri wataambiwa:subirini Bajeti ijayo. CCM is now our real enemy..!
ushauri wako ni wakishetani kwani huwatakii kheri. kwavile suala ni baina ya bodi na chuo hilo ni jepesi sana kwa wanafunzi wala hawana sababu ya kuanza kujiingiza katika mawazo ya kipumbafu kama ya kwako.
Kuna mtafaruku hapa duce,wanafunzi wa mwaka wa tatu wamejikuta wote wanadaiwa ada licha ya kuwa wanapaswa kulipiwa na bodi ya mikopo.chuo kinatupia lawama bodi na bodi inatupia lawama chuo.hali siyo shwari.
Kuna mtafaruku hapa duce,wanafunzi wa mwaka wa tatu wamejikuta wote wanadaiwa ada licha ya kuwa wanapaswa kulipiwa na bodi ya mikopo.chuo kinatupia lawama bodi na bodi inatupia lawama chuo.hali siyo shwari.
Kuna mtafaruku hapa duce,wanafunzi wa mwaka wa tatu wamejikuta wote wanadaiwa ada licha ya kuwa wanapaswa kulipiwa na bodi ya mikopo.chuo kinatupia lawama bodi na bodi inatupia lawama chuo.hali siyo shwari.
ushauri wako ni wakishetani kwani huwatakii kheri. kwavile suala ni baina ya bodi na chuo hilo ni jepesi sana kwa wanafunzi wala hawana sababu ya kuanza kujiingiza katika mawazo ya kipumbafu kama ya kwako.