hahahaha,msiogope jamani,things are easy kama umejipanga.kwa wale first year wanaosoma linguistics,karibuni kwenye page yetu in facebook,DUCE LINGUISTICS POINT,you will gain alot of things concerned language.mnakaribishwa sana.
Yap! Nitajinyakulia mwalimu moja ila kazi ya uwalimu nitamwachisha tu. Namfungulia miradi alee watoto tu. DUCE ni chuo cha watoto wa watu maskini, mtu mwenye pesa zenu uwezi poteza muda. Nenda DUCE kwa macho tu ukiwaona utawagundua kwamba hawa choka mbaya.
karibuni sana duce familly .changamoto ya pale ni kupata hostel za ndani ya chuo ila unapangiwa mabibo hostel wanapokaa wa main campus au mbagala hostel sema kinachoboa mpaka watu wanachukua mageto ni foleni ya dsm na ukipanga geto ni 50 na kuendelea hii ni kwa sababu chuo kipo uwanja wa taifa...na kuhusu direct cost km utapata asilimia mia utalipa kama 75 tu iv na kusaina bumu na kuendelea kula life as i alwayz did