Bavaria JF-Expert Member Joined Jun 14, 2011 Posts 53,109 Reaction score 53,626 Feb 14, 2014 Thread starter #21 Maisha yako yote 1890 GKM Sent from my Nokia Lumia using Tapatalk Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Mchochezi JF-Expert Member Joined Feb 29, 2012 Posts 11,451 Reaction score 9,967 Feb 14, 2014 #22 Afrika ya Kati wanayo miundo mbinu kama hyo, nilikuwa January
GKM JF-Expert Member Joined Dec 5, 2012 Posts 738 Reaction score 332 Feb 14, 2014 #23 Bulldog said: Maisha yako yote 1890 GKM Sent from my Nokia Lumia using Tapatalk Click to expand... wee ni-underestimate tu
Bulldog said: Maisha yako yote 1890 GKM Sent from my Nokia Lumia using Tapatalk Click to expand... wee ni-underestimate tu
masopakyindi Platinum Member Joined Jul 5, 2011 Posts 18,621 Reaction score 14,577 Feb 14, 2014 #24 Bulldog said: View attachment 139193 Click to expand... Nipe google position ya sehemu hiyo!
XinKumi JF-Expert Member Joined Jul 10, 2013 Posts 1,276 Reaction score 1,146 Feb 15, 2014 #25 abbaczo said: Mh sijui lini kwetu kutakuwa hvi Click to expand... Kwetu kukiwa hivyo na mbuga za wanyama tutaziweka wapi? Tunalialia kila siku kuwa kugeza kwetu kutoka kwao ndio kunaharibu maadili ya watoto wetu. Inatubidi tuwe tofauti nao mkuu kulinda utamaduni wetu...😀 "Nlikuwepo":bolt:
abbaczo said: Mh sijui lini kwetu kutakuwa hvi Click to expand... Kwetu kukiwa hivyo na mbuga za wanyama tutaziweka wapi? Tunalialia kila siku kuwa kugeza kwetu kutoka kwao ndio kunaharibu maadili ya watoto wetu. Inatubidi tuwe tofauti nao mkuu kulinda utamaduni wetu...😀 "Nlikuwepo":bolt:
Masuonline Senior Member Joined Jun 4, 2013 Posts 192 Reaction score 17 Feb 15, 2014 #26 nimelifagia sana hilo barabara
Makanyaga JF-Expert Member Joined Sep 28, 2007 Posts 11,736 Reaction score 7,536 Feb 15, 2014 #27 Bulldog said: View attachment 139193 Click to expand... Usipoangalia vizuri unaweza ukafikiri ni circuit board ya kwenye motherboard ya computer
Bulldog said: View attachment 139193 Click to expand... Usipoangalia vizuri unaweza ukafikiri ni circuit board ya kwenye motherboard ya computer
K kachumbari Senior Member Joined Nov 1, 2010 Posts 126 Reaction score 9 Feb 15, 2014 #28 Hapa ni Dar es salaam Bulldog said: View attachment 139193 Click to expand...
Kennedy Platinum Member Joined Dec 28, 2011 Posts 61,586 Reaction score 74,404 Feb 15, 2014 #29 Hii nchi yetu huenda siku moja tukafika huko kwa mafaniki ikiwa tu hawa jamaa wanaojiita Serikali sikivu wakiangushwa
Hii nchi yetu huenda siku moja tukafika huko kwa mafaniki ikiwa tu hawa jamaa wanaojiita Serikali sikivu wakiangushwa
Bavaria JF-Expert Member Joined Jun 14, 2011 Posts 53,109 Reaction score 53,626 Feb 15, 2014 Thread starter #30 GKM said: wee ni-underestimate tu Click to expand... wala sikuundersetimate
nameless girl JF-Expert Member Joined Apr 22, 2012 Posts 4,195 Reaction score 2,689 Feb 15, 2014 #31 mi naishi kwenye hiyo ghorofa ndefu hiyo... karibuni members....
Bavaria JF-Expert Member Joined Jun 14, 2011 Posts 53,109 Reaction score 53,626 Feb 15, 2014 Thread starter #32 Kennedy said: Hii nchi yetu huenda siku moja tukafika huko kwa mafaniki ikiwa tu hawa jamaa wanaojiita Serikali sikivu wakiangushwa Click to expand... mimi na wewe na yule tuanze sasa, mabadiliko kama haya tunayahitaji
Kennedy said: Hii nchi yetu huenda siku moja tukafika huko kwa mafaniki ikiwa tu hawa jamaa wanaojiita Serikali sikivu wakiangushwa Click to expand... mimi na wewe na yule tuanze sasa, mabadiliko kama haya tunayahitaji
Bavaria JF-Expert Member Joined Jun 14, 2011 Posts 53,109 Reaction score 53,626 Feb 15, 2014 Thread starter #33 masopakyindi said: Nipe google position ya sehemu hiyo! Click to expand... google it
GKM JF-Expert Member Joined Dec 5, 2012 Posts 738 Reaction score 332 Feb 15, 2014 #34 Bulldog said: wala sikuundersetimate Click to expand... kama sijakuelewa vile,,ile kozi ya kijapani sikuimaliza andika tuu kwa kiswahiliau english
Bulldog said: wala sikuundersetimate Click to expand... kama sijakuelewa vile,,ile kozi ya kijapani sikuimaliza andika tuu kwa kiswahiliau english
Bavaria JF-Expert Member Joined Jun 14, 2011 Posts 53,109 Reaction score 53,626 Feb 17, 2014 Thread starter #35 GKM said: kama sijakuelewa vile,,ile kozi ya kijapani sikuimaliza andika tuu kwa kiswahiliau english Click to expand... inaitwa lugha mpya duniani
GKM said: kama sijakuelewa vile,,ile kozi ya kijapani sikuimaliza andika tuu kwa kiswahiliau english Click to expand... inaitwa lugha mpya duniani
Kv-london JF-Expert Member Joined Jan 24, 2014 Posts 2,893 Reaction score 5,077 Feb 17, 2014 #36 Duu tz nawapa miaka900 mpaka tupate town kama iyo.
Fidel80 JF-Expert Member Joined May 3, 2008 Posts 21,945 Reaction score 4,506 Feb 17, 2014 #37 abbaczo said: Mh sijui lini kwetu kutakuwa hvi Click to expand... Nyie mnacheza na rasilimali za nchi hii.
abbaczo said: Mh sijui lini kwetu kutakuwa hvi Click to expand... Nyie mnacheza na rasilimali za nchi hii.
Jambo Tz JF-Expert Member Joined Jul 19, 2013 Posts 670 Reaction score 203 Feb 17, 2014 #38 apo mbona Igoma the Rap City alipo zaliwa Fifi