Dubai inaongoza kwa uaminifu

Dubai inaongoza kwa uaminifu

Ni kweli. Ila pia kuna mabadiliko taratibu yanayoletwa na watu wa magharibi. Nilipokuwa Dubai, nilijifunza kuwa wale watu miaka ya nyuma walikuwa very strict katika kuoa na kuolewa. Waliffuat culture za emirat. Lakini juzi juzi wamstuka tayari kuna muingiliano wa hali ya juu sana wa kuolewa na kuoa watu wasio na emirat culture. Hii inaleta tabia ngeni kabisa.

Siku ya kwanza nilienda pale The Mall of Emirates jioni sasa katika kutembea na kununua vitu kadhaa mule ndani, kwa vile mall ni kubwa sana, nikatumia muda mrefu na kuangalia saa ni saa mbili na nusu jioni. Ingawa hapo hapo kuna kituo cha train (metro), lakini kule nilikukuwa naenda nilihisi usalama wangu njiani utakuwaje? Lakini niliuliza wakasema yaani wewe hata uache vitu vyako barabarani kesho utavikuta yaani hakuna shida kabisa. Ni kweli full peace.

I like Dubai. Beautiful.
 
Mkuu watu wa Dubai wameridhika sana na maisha yao mazuri. Hilo limewapa uaminifu na upendo.
Bongo full njaa na mashaka kibao. Uaminifu shida hadi kwenye familia. Maisha yetu yakiwa mazuri uaminifu wetue utaongezeka.
 
huku hata ukiidondosha msikitini au kanisani sahau kuipata. hata ukiisahau kwenye ofisi ya mchungaji au shekhe au kwenye gari ya shekhe au mchungaji,
 
sasa pata picha ajisahaulishe kwenye ofisi ya ccm. yeuwiii, tutaunda na tume ya kuchunguza at his extra cost
huku hata ukiidondosha msikitini au kanisani sahau kuipata. hata ukiisahau kwenye ofisi ya mchungaji au shekhe au kwenye gari ya shekhe au mchungaji,

hahaha, kimjini mjini wanasema 'watamvua'
Hapa Bongo wataichukua kabla hajaidondosha!
 
Back
Top Bottom