Dubai: Falme za Kiarabu (UAE) kuishambulia Iran ili kulinda usalama wake

Dubai: Falme za Kiarabu (UAE) kuishambulia Iran ili kulinda usalama wake

Ozon

JF-Expert Member
Joined
Dec 19, 2024
Posts
2,366
Reaction score
3,687
TAARIFA MPYA: UAE imesema mabaki ya kombora la Iran yaliyoanguka yameangukia maeneo ya makazi jijini Abu Dhabi, na kwamba shambulio hilo limekiuka mamlaka yake ya kikatiba; UAE imehifadhi haki ya kujibu.

1000356533.jpg
 
TAARIFA MPYA: UAE imesema mabaki ya kombora la Iran yaliyoanguka yameangukia maeneo ya makazi jijini Abu Dhabi, na kwamba shambulio hilo limekiuka mamlaka yake ya kikatiba; UAE imehifadhi haki ya kujibu.

View attachment 3549951
Hawawezi hao akili zao zote zipo kwenye utalii hata ulinzi wa nchi zao wamemuachia US.
 
Back
Top Bottom