Dua ya kuombea (Wagombea) Uchaguzi Mkuu??

Dua ya kuombea (Wagombea) Uchaguzi Mkuu??

Wataje, na dua inatarajiwa kufanyika lini?
 
BAKWATA wameandaa dua ya kuombea Uchaguzi Mkuu.

Maajabu ni kwamba Wageni rasmi ni Wagombea waliopitishwa na Chama chao kugombea Oktoba 2025 (CCM)
Mungu anasikiliza dua ya kuomba kufanikisha kuiba uchaguzi? Mbona kama siwaelei hivi. Wanamuomba Mungu ama shetani kufanikisha hilo. Jenerali ulimwengu alizungumzia udhu na janaba sijui. Uchaguzi ni haram kwanza. Wakomae uwe halal halafu ndiyo waje na dua zao. Ama sivyo tutawaona wameamua tu kufungamana na hao wagombea kwa sababu ya uislam wao bila kuangalia uhalali wa mchakato mzima wa uchaguzi.
 
BAKWATA wameandaa dua ya kuombea Uchaguzi Mkuu.

Maajabu ni kwamba Wageni rasmi ni Wagombea waliopitishwa na Chama chao kugombea Oktoba 2025 (CCM)
Ni muhimu sana watanzania wote kushiriki dua hiyo muhimu sana kwa mustakabali wa taifa letu 🐒
 
BAKWATA wameandaa dua ya kuombea Uchaguzi Mkuu.

Maajabu ni kwamba Wageni rasmi ni Wagombea waliopitishwa na Chama chao kugombea Oktoba 2025 (CCM)

BAKWATA ni Jumuia ya CCM kawa vile Jumuiya ya Wanawake, Vijana au Wazazi.
 
Back
Top Bottom