Du, Kiinglish cha Viongozi wetu: Inatia aibu!

mcfm40

JF-Expert Member
Nov 2, 2010
4,452
3,150
Hivi vandugu, kama kingereza hakipandi kwa nini tusizungumze Kiswahili halafu kikatasfiriwa kama wafanyavo wenzetu wachina? Tanzania ni nchi ambayo Kiswahili na Kiingereza ni lugha zao rasmi za kimawasiliano. Sasa inakuwaje viongozi wakuu wa serikali kama raisi na Katibu Mkuu kiongozi kushindwa kuzungumza kiingereza sawasawa (fluently)? Kuna tatizo la namna tunavyowa pata viongozi wetu wakuu! Busara ya kawaida inataka Kiongozi mkuu kabisa wa nchi kama rais, makamu wa raisi, waziri mkuu, jaji mkuu, spika wabunge walau wawe vizuri kimombo kwa sababu hawa sio national figures tu bali ni international figures. Simaanishi kwamba kujua kiingereza ndio kuendelea bali ni jambo la ajabu kwamba viongozi wakuu wetu wengi wao wanamumunya mumunya tu lugha. Nadhani pamoja na sifa nyingine ni vizuru kiongozi mkuu wa serikali akawa na uwezo wa kuzungumza walao lugha mbili za kimataifa hata hiyo lugha moja basi vizuri. Wakati wa Press conference jana na juzi mwili ulikuwa unapatwa na baridi kikwete alipokuwa anaotoa hotuba yake kwa kiingereza! Akiacha kusoma tu basi alikuwa anapata shida sana kupata misamiati sahihi ya kuongea anapojaribu kukazia pointi yake. Funga kazi ilikuwa wakati wa press konferensi na Obama WAKATI WA MASWALI NA MAJIBU aliposema " THAT QUESTION SHOULD HAVE BEEN ASKED ME!! AKITAKA KUSEMA "THAT QUESTION SHOULD HAVE BEEN DIRECTED TO ME." Hili ni lile swali alilouliza mwandishi mmoja wa Tanzania kwa Obama kitu kama hiki: Are you satisfied with the progress of MCC? Sas kama ungenge ni shida mpka kwa viongozi wetu wakuu, je itakuwaje kwa wale wa ST kanumba wanaotakiwa kusoma na kujibu mitihani kwa kiingereza? huu ni ushahidi kwamba ni wakati sasa wa kukikumbatia Kiswahili chetu na kuachana utumwa. Madhara ya kung'ang'ania kuzungumza lugha usiyoielewa vizuri ni kwamba huwezi kuongea kwa hisia na vionjo vyako vya asili na pia ujumbe hauwafikii walengwa kwa impact inayotakiwa, licha ya kwamba unaweza usieleweke pia. mwisho inakuwa ni kujidhalilisha.
 
Acha mbwembwe! wewe unajua Kiingereza? pamoja na kiingereza chake mbona ametuongoza? hiyo ni inferiority complex, I am afraid wewe ndo hujuwi kiingereza. Wabongo bana, sijuwi tukoje. We badala ya kutafuta context au maudhui wewe unaangalia kama mtu kakosea kuongea kiingereza wewe unaye jua kiingera vizuri mbona unakula mihogo mibichi na mwenzio asiye jua kiingera yuko ikulu?

I am afraid you are suffering from inferiority complex!
 
Kusema ukweli mimi viingereza vya Dr Kikwete na Dr Emanuel Nchimbi huwa vinaniacha hoi, style yao ya kupiga ung'eng'e ni ya kipekee kabisa
 
Acha mbwembwe! wewe unajua Kiingereza? pamoja na kiingereza chake mbona ametuongoza? hiyo ni inferiority complex, I am afraid wewe ndo hujuwi kiingereza. Wabongo bana, sijuwi tukoje. We badala ya kutafuta context au maudhui wewe unaangalia kama mtu kakosea kuongea kiingereza wewe unaye jua kiingera vizuri mbona unakula mihogo mibichi na mwenzio asiye jua kiingera yuko ikulu?

I am afraid you are suffering from inferiority complex!

Roger that Sir. Binafsi pia huwa nakereka sana na watu ambao wao siku zote ni kukosoa tu tenses au grammar badala ya kuangalia maudhui, mf wenzetu wakenya hawana muda huo, hasa yule anaependa kusema "watu kama hao ni buuuulee ....bule kabisa" naamanisha kibaki.

Let's change guys!



alfred@kohiatdotcodottz
 
Acha mbwembwe! wewe unajua Kiingereza? pamoja na kiingereza chake mbona ametuongoza? hiyo ni inferiority complex, I am afraid wewe ndo hujuwi kiingereza. Wabongo bana, sijuwi tukoje. We badala ya kutafuta context au maudhui wewe unaangalia kama mtu kakosea kuongea kiingereza wewe unaye jua kiingera vizuri mbona unakula mihogo mibichi na mwenzio asiye jua kiingera yuko ikulu?

I am afraid you are suffering from inferiority complex!

Acha hizo Rais alipaswa kutafuta mkalimani sio kudandia lugha za watu.We ka mtoto wake kaa kimya
 
Moja ya kipimo cha kupima uwezo wa kiongozi atakaye kuongoza ni pamoja na uwezo wa kiongozi huyo kuwa na uwezo mzuri wa:
(a)kujieleza yeye mwenyewe
(b) Uwezo wa kueleza vizuri, kueleza vizuri mawazo na hisia zake
(c) Uwezo mzuri wa kuyaelewa na kuyaelezea mawazo ya watu wengine
(d) Ufasaha na ustadi katika utendaji wake

Hatutegemei kuwa tukawa na rais wa nchi ambaye ni average! Tunapaswa kutambua kuwa ni wajibu wetu wa kumtafuta na kumpata rais ambae yuko juu ya viwango vya kawaida. Kama tukichagua boga, tujue kuwa sisi ndio wa kulaumiwa.

Kikwete hana uwezo mzuri wa kumudu lugha ya kiingereza. Hili ni tatizo kubwa hata kwa walimu wetu wa vyuo vya juu. Na wengi wanapoulizwa ni kwa nini hawaonyeshi kumudu lugha ya kiingereza (ambayo ni kitendea kazi) wao wanaishia kutukana.

Kiingereza ni kitendea kazi. Lazima tuweze kutmia vitendea kazi hivi kwa ajili ya kulinda maslahi ya nchi na watu wake.
 
Acha mbwembwe! wewe unajua Kiingereza? pamoja na kiingereza chake mbona ametuongoza? hiyo ni inferiority complex, I am afraid wewe ndo hujuwi kiingereza. Wabongo bana, sijuwi tukoje. We badala ya kutafuta context au maudhui wewe unaangalia kama mtu kakosea kuongea kiingereza wewe unaye jua kiingera vizuri mbona unakula mihogo mibichi na mwenzio asiye jua kiingera yuko ikulu?

I am afraid you are suffering from inferiority complex!
Wewe ni Michuzi nini? Kwa sababu uelewa wako ni mdogo sana! Kwa nini asizungumze kiswahili? Kwa nini anang'ang'ania lugha asiyoiweza!
 
1.Wakenya sio wenzio
2. Kiingereza ni kitendea kazi - lazima uweze kuonyesha uhodari katika matumizi yake (at least as president of a country.
3. Rais sio mkimbizi (huwezi sema kuwa alishindwa kumudu lugha sababu alimbia vita!!!!! Aongeze bidiii

Roger that Sir. Binafsi pia huwa nakereka sana na watu ambao wao siku zote ni kukosoa tu tenses au grammar badala ya kuangalia maudhui, mf wenzetu wakenya hawana muda huo, hasa yule anaependa kusema "watu kama hao ni buuuulee ....bule kabisa" naamanisha kibaki.

Let's change guys!



alfred@kohiatdotcodottz
 
Sikilizeni wenyewe

Yaliyomo kwenye hiyo clip ni haya hapa:



I... I think the... the issue of satisfied with MCC should have com... should have been asked me.

MCC has been great assistance from the United States government to the people of Tanzania.

There are three.... three... three sectors here. There is the road sector. And the good thing about the MCC is that we decide on the..... on the areas or sectors that we need assistance. But even we decide on where. For example in the case of roads. There are roads that we spo.... we talked to many donors, who were not ready to support us. But when... when you said there is going to be support on roads I said "Let's try these roads, let's see what the American are going to say." The American said fine, if you think you need these roads fine, we will give you the money.

Those fellow Tanzanians know Namtumbo-Songea-Mbinga, Tunduma-Sumbawanga, Tanga-Horohoro, the roads in Pemba. But we chose those roads because, these roads are actually in our bread basket area. This is where we get the corn: Ruvuma, Rukwa and Mbeya.

We decide.. we chose the US to assist us to increase water supply in Dar es Salaam. It is our decision. The project is now being implemented.

With electricity we said, one of our biggest problems is access to electricity for people in the rural areas. The US said fine. We have m m .. in grid 10 regions of Tanzania. Coverage of electricity has increased from 10% to 21%, is phenomenal increase.

So I want to underscore the fact that I am satisfied with the support from MCC.

Is US doing enough? The US has done a lot, but if I say they have done enough, then the President will not listen to my new requests... hahahahahaaaaaaaaaaaa

But so far so good.

Deaths from malaria have declined by over 50%, infant mortality rates have declined, HIV infections have declined. Through PMTCT (Prevention of Mother to Child Transmission) more children born by HIV infected mothers are born free of the disease. More people now...

The US has supported us now with over 2 million books. And today I asked the president we want another 2.4 million and he said we will ... to .... and I see from their face that they are in agreement with the president. So that when it comes to science and mathematics books, we will have every Tanzanian child .. have a book of his or her own, instead of the ratios that we are talking today 5 to 1 now reduced to 3 to 1. So the list is endless.

We have a lot of support, we are very appreciative, we are very thankful, it has really helped changing the lives of our people.
 
Last edited by a moderator:
Acha mbwembwe! wewe unajua Kiingereza? pamoja na kiingereza chake mbona ametuongoza? hiyo ni inferiority complex, I am afraid wewe ndo hujuwi kiingereza. Wabongo bana, sijuwi tukoje. We badala ya kutafuta context au maudhui wewe unaangalia kama mtu kakosea kuongea kiingereza wewe unaye jua kiingera vizuri mbona unakula mihogo mibichi na mwenzio asiye jua kiingera yuko ikulu?

I am afraid you are suffering from inferiority complex!

wacha kukurupuka wewe!unajua maana ya inferiority complex?
kwanini aslngeongea tu kiswahili?and am afraid kuna mambo mengi atakua anaitikia tu bila hata kuelewa maana yake!!!

......ntarudi baadae.......
 
Moja ya kipimo cha kupima uwezo wa kiongozi atakaye kuongoza ni pamoja na uwezo wa kiongozi huyo kuwa na uwezo mzuri wa:
(a)kujieleza yeye mwenyewe
(b) Uwezo wa kueleza vizuri, kueleza vizuri mawazo na hisia zake
(c) Uwezo mzuri wa kuyaelewa na kuyaelezea mawazo ya watu wengine
(d) Ufasaha na ustadi katika utendaji wake

Hatutegemei kuwa tukawa na rais wa nchi ambaye ni average! Tunapaswa kutambua kuwa ni wajibu wetu wa kumtafuta na kumpata rais ambae yuko juu ya viwango vya kawaida. Kama tukichagua boga, tujue kuwa sisi ndio wa kulaumiwa.

Kikwete hana uwezo mzuri wa kumudu lugha ya kiingereza. Hili ni tatizo kubwa hata kwa walimu wetu wa vyuo vya juu. Na wengi wanapoulizwa ni kwa nini hawaonyeshi kumudu lugha ya kiingereza (ambayo ni kitendea kazi) wao wanaishia kutukana.

Kiingereza ni kitendea kazi. Lazima tuweze kutmia vitendea kazi hivi kwa ajili ya kulinda maslahi ya nchi na watu wake.

Swadaktaaa mkuu wangu. Kikwete ni kilaza 100 perc. na sijui kwanini anang'ang'ania kizungu
 
Yaliyomo kwenye hiyo clip ni haya hapa:



I... I think the... the issue of satisfied with MCC should have com... should have been asked me.

MCC has been great assistance from the United States government to the people of Tanzania.

There are three.... three... three sectors here. There is the road sector. And the good thing about the MCC is that we decide on the..... on the areas or sectors that we need assistance. But even we decide on where. For example in the case of roads. There are roads that we spo.... we talked to many donors, who were not ready to support us. But when... when you said there is going to be support on roads I said "Let's try these roads, let's see what the American are going to say." The American said fine, if you think you need these roads fine, we will give you the money.

Those fellow Tanzanians know Namtumbo-Songea-Mbinga, Tunduma-Sumbawanga, Tanga-Horohoro, the roads in Pemba. But we chose those roads because, these roads are actually in our bread basket area. This is where we get the corn: Ruvuma, Rukwa and Mbeya.

We decide.. we chose the US to assist us to increase water supply in Dar es Salaam. It is our decision. The project is now being implemented.

With electricity we said, one of our biggest problems is access to electricity for people in the rural areas. The US said fine. We have m m .. in grid 10 regions of Tanzania. Coverage of electricity has increased from 10% to 21%, is phenomenal increase.

So I want to underscore the fact that I am satisfied with the support from MCC.

Is US doing enough? The US has done a lot, but if I say they have done enough, then the President will not listen to my new requests... hahahahahaaaaaaaaaaaa

But so far so good.

Deaths from malaria have declined by over 50%, infant mortality rates have declined, HIV infections have declined. Through PMTCT (Prevention of Mother to Child Transmission) more children born by HIV infected mothers are born free of the disease. More people now...

The US has supported us now with over 2 million books. And today I asked the president we want another 2.4 million and he said we will ... to .... and I see from their face that they are in agreement with the president. So that when it comes to science and mathematics books, we will have every Tanzanian child .. have a book of his or her own, instead of the ratios that we are talking today 5 to 1 now reduced to 3 to 1. So the list is endless.

We have a lot of support, we are very appreciative, we are very thankful, it has really helped changing the lives of our people.

kama wanaija wanavysema "he has assassinated the English language"
 
Acha mbwembwe! wewe unajua Kiingereza? pamoja na kiingereza chake mbona ametuongoza? hiyo ni inferiority complex, I am afraid wewe ndo hujuwi kiingereza. Wabongo bana, sijuwi tukoje. We badala ya kutafuta context au maudhui wewe unaangalia kama mtu kakosea kuongea kiingereza wewe unaye jua kiingera vizuri mbona unakula mihogo mibichi na mwenzio asiye jua kiingera yuko ikulu?

I am afraid you are suffering from inferiority complex!

Mkuu kwa kawaida lugha inapotumika ndivyo sivyo basi hata maana iliyokusudiwa na mwongeaji inaweza kupokelewa tofauti na msikilizaji.....mwisho wa siku unaweza kuona kuwa watu wameku-misquote kumbe wewe ndiye umesema hivyo bila kujijua....

Ni bora Bwana Jakaya angetumia lugha ambayo ingempa uhuru wa kujieleza kwa tambo mbele ya hadhira na angeweza kujibu maswali kwa kujiamini kuliko kituko alichokifanya jana


Mapendo.
TANMO
 
Hivi vandugu, kama kingereza hakipandi kwa nini tusizungumze Kiswahili halafu kikatasfiriwa kama wafanyavo wenzetu wachina? Tanzania ni nchi ambayo Kiswahili na Kiingereza ni lugha zao rasmi za kimawasiliano. Sasa inakuwaje viongozi wakuu wa serikali kama raisi na Katibu Mkuu kiongozi kushindwa kuzungumza kiingereza sawasawa (fluently)? Kuna tatizo la namna tunavyowa pata viongozi wetu wakuu! Busara ya kawaida inataka Kiongozi mkuu kabisa wa nchi kama rais, makamu wa raisi, waziri mkuu, jaji mkuu, spika wabunge walau wawe vizuri kimombo kwa sababu hawa sio national figures tu bali ni international figures. Simaanishi kwamba kujua kiingereza ndio kuendelea bali ni jambo la ajabu kwamba viongozi wakuu wetu wengi wao wanamumunya mumunya tu lugha. Nadhani pamoja na sifa nyingine ni vizuru kiongozi mkuu wa serikali akawa na uwezo wa kuzungumza walao lugha mbili za kimataifa hata hiyo lugha moja basi vizuri. Wakati wa Press conference jana na juzi mwili ulikuwa unapatwa na baridi kikwete alipokuwa anaotoa hotuba yake kwa kiingereza! Akiacha kusoma tu basi alikuwa anapata shida sana kupata misamiati sahihi ya kuongea anapojaribu kukazia pointi yake. Funga kazi ilikuwa wakati wa press konferensi na Obama WAKATI WA MASWALI NA MAJIBU aliposema " THAT QUESTION SHOULD HAVE BEEN ASKED ME!! AKITAKA KUSEMA "THAT QUESTION SHOULD HAVE BEEN DIRECTED TO ME." Hili ni lile swali alilouliza mwandishi mmoja wa Tanzania kwa Obama kitu kama hiki: Are you satisfied with the progress of MCC? Sas kama ungenge ni shida mpka kwa viongozi wetu wakuu, je itakuwaje kwa wale wa ST kanumba wanaotakiwa kusoma na kujibu mitihani kwa kiingereza? huu ni ushahidi kwamba ni wakati sasa wa kukikumbatia Kiswahili chetu na kuachana utumwa. Madhara ya kung'ang'ania kuzungumza lugha usiyoielewa vizuri ni kwamba huwezi kuongea kwa hisia na vionjo vyako vya asili na pia ujumbe hauwafikii walengwa kwa impact inayotakiwa, licha ya kwamba unaweza usieleweke pia. mwisho inakuwa ni kujidhalilisha.

Bora hao viongozi wetu hawajui kingereza,wewe kiswahili hujui hamna neno linaloitwa "Kiinglish" kwenye lugha ya kiswahili English = Kingereza
 
Roger that Sir. Binafsi pia huwa nakereka sana na watu ambao wao siku zote ni kukosoa tu tenses au grammar badala ya kuangalia maudhui, mf wenzetu wakenya hawana muda huo, hasa yule anaependa kusema "watu kama hao ni buuuulee ....bule kabisa" naamanisha kibaki.

Let's change guys!


alfred@kohiatdotcodottz

Kohi nimefurahi kukuona humu JF
 
Roger that Sir. Binafsi pia huwa nakereka sana na watu ambao wao siku zote ni kukosoa tu tenses au grammar badala ya kuangalia maudhui, mf wenzetu wakenya hawana muda huo, hasa yule anaependa kusema "watu kama hao ni buuuulee ....bule kabisa" naamanisha kibaki.

Let's change guys!



alfred@kohiatdotcodottz

Acha mbwembwe! wewe unajua Kiingereza? pamoja na kiingereza chake mbona ametuongoza? hiyo ni inferiority complex, I am afraid wewe ndo hujuwi kiingereza. Wabongo bana, sijuwi tukoje. We badala ya kutafuta context au maudhui wewe unaangalia kama mtu kakosea kuongea kiingereza wewe unaye jua kiingera vizuri mbona unakula mihogo mibichi na mwenzio asiye jua kiingera yuko ikulu?

I am afraid you are suffering from inferiority complex!

Here the issue is not only English. The content is embarrassing.

If you are a Tanzanian with a sense of dignity as a citizen you should be embarrassed!

Tanzania is one of the wealthiest countries on the planet in terms of its natural resources yet here is our president talking like a little school girl in front of her rich daddy.

Receiving aid has become a bragging badge for Kikwete, foreign companies are making billions off our lands yet here's this embarrassing president bragging about how much aid his country is getting from the US.


Let us forget our party affiliations and ideologies. This is simply embarrassing, embarrassing, embarrassing!!!!

English is embarrassing, but even more so is the condescending message!!!

 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom