Du! Joka kumeza mamba!

Anaconda ni nyoka mkubwa na ananguvu zaidi, na anapatika bara amerika na asia huku Afrika hayupo, ndao maana hata tafsiri yake kiswahili hakuna. Python ndio hawahawa wanaochezewa ngoma na wasukuma, ni chatu na wanatofautiana ukubwa kutokana na umri.
 
Back
Top Bottom