Anaconda ni nyoka mkubwa na ananguvu zaidi, na anapatika bara amerika na asia huku Afrika hayupo, ndao maana hata tafsiri yake kiswahili hakuna. Python ndio hawahawa wanaochezewa ngoma na wasukuma, ni chatu na wanatofautiana ukubwa kutokana na umri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.