DSTV vs Zuku

mbona ulizotaja hizo zote zipo, kumbuka kuna compct, afu na compact plus, hizi ni package mbili tofauti. mimi nalipia compact plus zote hizi napata kwa uzuri kabisa.
 
mbona ulizotaja hizo zote zipo, kumbuka kuna compct, afu na compact plus, hizi ni package mbili tofauti. mimi nalipia compact plus zote hizi napata kwa uzuri kabisa.

Hiyo compact plus naona sjui ni mpya!!
Unaweza kunitupia channel list?
 
DSTV ukilipia compact plus $ 50, unapata channel za mpira S5, S7, S9, S10, S19,S220 NA ESPN hizi zote zinaonyesha live games, na movies kibao pamoja na series

Mkuu Mupirocin, katika hivi ving'amuzi vya hapa kwetu, ni kipi kina channel yenye kuonesha WWE hata kama ni recorded?
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Mupirocin, katika hivi ving'amuzi vya hapa kwetu, ni kipi kina channel yenye kuonesha WWE hata kama ni recorded?

Mkuu mimi tangu nianze kutumia runinga nilianza moja kwa moja kutumia DSTV baada ya antena za chadema, kwa hiyo hivi ving'amuzi vingine sijui channel zilizomo. lakini JF ni kila kitu subiri watakupa details siyo muda mrefu. coz hata mimi ushauri wa kutumia DSTV nilipata humu humu.
 
then dstv wapandishe bei uje kulia lia humu.😡😡
 
ZUKU wamebadilika
Wako poa sasa hivi na bei zao ziko user friendly sana compared na DSTV
 

Je! nikinununa DSTV alafu nisipo lipia sitopata zile channnel za bure mfano TBC ITV STAR TV na EATV na CLOUDS? naomba kuuliza ndugu
 
Je! nikinununa DSTV alafu nisipo lipia sitopata zile channnel za bure mfano TBC ITV STAR TV na EATV na CLOUDS? naomba kuuliza ndugu
  • Hapo kwenye bold, Tangu lini zipo DSTV?
 
etv ya south inaonesha mieleka,inapatikana ving'amuz karib vyote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…