Shida ya netflix ni movie tu..netflix si kwa simu tu..ata kwenye smart tv ipoNetflix naikubali sana....napamba niipate niuze tv nilionayo nitafute smartone..ujinga ujinga tu dstv
Nadhani umekuwa ukinunua vifurushi tofauti tofauti that's why the messages keep changing. Huwa nalipia Compact na nilitumiwa message ya kulipa kabla wanipe Compact Plus, I paid and was able to watch UEFA semis.
DStv ni ndoa ya kikristo.DSTV hatufuati local channels
Azam wana kitu gan kipya, zaid ya soka la bongo, ambapo dstv hakipoAzam Anakwenda Kuwafungashia Virago
Startimes, Dstv Hawana Tena Chao,
Mara Local Channels Zitakapoanza Kuonyeshwa
Kwani iyo netflix mnaipataje kwenye dstv na si inatumia intelnet?Sports package zao zikoje?