Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,988
- 22,379
Mimi mpaka naona wananizonga now.
Inawezekana ulikua na salio lililobaki.
Ukiwa na smart TV mkuu unaikuta kwenye menu then unafungua account unalipia kwa mwezi unakua unacheki mambo kibao zikiwemo latest movie drama TV shows nk
Azam Anakwenda Kuwafungashia Virago
Startimes, Dstv Hawana Tena Chao,
Mara Local Channels Zitakapoanza Kuonyeshwa
Channel za Azam inarudia rudia vipindi kila siku. Yaani hata raha ya kuangalia channel zao hamna maana ulichokiona usiku ndio utakachoona asubuhi. Ulichokiangalia juzi na jana ndio hicho hicho utakachoangalia na leo. Halafu katika local channels zinazoliliwa, ni channel zipi hizo zenye maudhui mazuri ya vipindi ukiacha Taarifa za habari?Azam Anakwenda Kuwafungashia Virago
Startimes, Dstv Hawana Tena Chao,
Mara Local Channels Zitakapoanza Kuonyeshwa
Hapo mpaka fundi aje. Wapo wa mtaani sijui wewe unakaa mitaa gani?Jamani naombeni msasda jinsi ya kurudisha signal zimeshuka hadi 1%kwa pande zote strength na quality,nimewacheki Dstv customer care wamenambia nitafute mafundi walio jirani. Nimemcheki hewani aliyenifungia dish hapatikani
Poa ndugu ngoja nitokee huko mtaaniHapo mpaka fundi aje. Wapo wa mtaani sijui wewe unakaa mitaa gani?
Kaka EPL imekwisha silipii mpaka ianze July.Mkuu lipa kabla hakijakata
Azam kwa Dstv bado sana.Azam Anakwenda Kuwafungashia Virago
Startimes, Dstv Hawana Tena Chao,
Mara Local Channels Zitakapoanza Kuonyeshwa
Hahahahaahah bro.Kuna F1, tennis
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Rugby na Cricket pia zipo
Sports package zao zikoje?Ukiwa na smart TV mkuu unaikuta kwenye menu then unafungua account unalipia kwa mwezi unakua unacheki mambo kibao zikiwemo latest movie drama TV shows nk
You must be kiddingAzam Anakwenda Kuwafungashia Virago
Startimes, Dstv Hawana Tena Chao,
Mara Local Channels Zitakapoanza Kuonyeshwa
Netflix naikubali sana....napamba niipate niuze tv nilionayo nitafute smartone..ujinga ujinga tu dstvUkiwa na smart TV mkuu unaikuta kwenye menu then unafungua account unalipia kwa mwezi unakua unacheki mambo kibao zikiwemo latest movie drama TV shows nk
Netflix naikubali sana....napamba niipate niuze tv nilionayo nitafute smartone..ujinga ujinga tu dstv