Saaannnaaa mkuu, matapeli hawaNilinunua dstv mwaka 2021 kifurushi cha bomba kikiwa 21000, leo hii napata ujumbe mwezi ujao natakiwa nilipie 27500, haya mabadiliko ya hii bei ni ndani ya miaka nne, hawa jamaa tusipowakimbia wataendelea kutunyoosha
Unahama vizuri tu mkuu...piga Azam full package uone, mixer router, ma-youtube blah blah hivi, uone hata kama utahangaika na hizo mambo tena!Shida ukizoea DStv ni ngumu kuhamia Azam..... watoto wamezoea DStv
Ngoja njaribu ndani ya mwaka huu nifunge dish la Azam maana huku DStv kilasiku vifurushi vinapanda tuUnahama vizuri tu mkuu...piga Azam full package uone, mixer router, ma-youtube blah blah hivi, uone hata kama utahangaika na hizo mambo tena!
.SHIDA NI UMASKINI WAKO. YAANI UNAONA HIYO PESA NI NYINGI HALAFU UNAENDA MBALI KUSEMA HAWANA KITU? WEWE KAANGALIE AZAM. DSTV WAACHIE WENYE WENYE UWEZO. MIMI NIKIWA TZ NATUMIA EXPLORE ULIZA BEI YAKE KWA MWEZI. HULAZIMISHWI KUTUMIA DSTV. IPO AZAM YA WALALAHOI NA KISWAZISiwashangai Ghana kuwapa miezi miwili hawa peremende kushusha bei ya vifurushi vyao au waondoke nchini humo.
Hawa jamaa ni pure trash🚮🚮
Wanachouza ni ile status ila kiukweli hizi contents zao hazistahili hizi bei
Dstv ni sawa na azam tuu, bila mpira hawana content nyngn ya maana
SawaUnadanganya umma. Huna DSTV wewe. Endelea kutumia azam
Kanunue kwa Ostaz mwenzako wa ice creamNilinunua dstv mwaka 2021 kifurushi cha bomba kikiwa 21000, leo hii napata ujumbe mwezi ujao natakiwa nilipie 27500, haya mabadiliko ya hii bei ni ndani ya miaka nne, hawa jamaa tusipowakimbia wataendelea kutunyoosha
yani Azam uilinganishe nDstv.lalamika huna hela azam ovyo.Siwashangai Ghana kuwapa miezi miwili hawa peremende kushusha bei ya vifurushi vyao au waondoke nchini humo.
Hawa jamaa ni pure trash🚮🚮
Wanachouza ni ile status ila kiukweli hizi contents zao hazistahili hizi bei