DSTV muda sio mrefu tutawaacha mazima



Ajabu sana, na aibu, sijui wanafanya nini Tanzania.
 
DSTv siwaelewi kabisa. Bando likiisha wanaondoa Star tv, ZBC, Safari , Wasafi na EFM.
Sasa Star tv Ina nini?
Upande wa dini wanatupendelea sisi wa KKKT pekee, wa RC na waislamu hawana kitu.
TBC ikibaki ndio tiivii pekee Tanzania. Nitaacha kuangalia tiivii. Hata wangeifunga sidhani Kama Kuna atakayelalamika labda wamrudishe Tido.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…