DSTV filisika nipate amani

DSTV filisika nipate amani

Kuona mpira sio basic human need. Kama vipi kaangalizie mpira bar. Au kama wife anakubana mwambie akuchangie uwe unaangalizia mpira nyumbani.
 
jiran kwangu hapa kuna uwanja kombe la pepsi , nikihitaj naangalia bure co mambo ya epl , kijana utafilisika bure wakomoe dstv usilpe we angalia ligi la kwenu
 
Kaka kweli ukiwa mtanzania Ni Tabu, kwanza hauko informed, pili nimesika kumbe hauna uhakika
kama uko interested ndo ufatilie.. sihitaji dstv kucheki epl ndo maana sikufatilia..[emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Wangeshusha baadhi ya sport chanels say wafanye laki moja watu wengi wangeweza kulipia
 
Hahaahahahhah unajua running cost zao? unajua ni ligi ngapi wanazionesha?
ligi zote wanazozionesha ukijumlisha gharama zake hazifikii ligi ya uingereza, na ligi kama ya la liga, bundes liga etc sio exclusive kwa dstv unaweza ziona azam, startimes na kampuni nyengine hivyo wao dstv hawalipi hela nyingi, ni kwenye epl ndio wanapolipa hizo hela nyingi.

uingereza na marekani japo chanell zao zinachukua haki za nchi moja ila hawatozi hela nyingi sababu wanunuzi ni wengi hivyo wanaweza kulipa hio hela bila tabu

mfano NBC Ya marekani inayoonyesha ligi ya uingereza huko marekani imenunua haki hadi mwaka 2021, kuanzia mwaka jana (2015) na wamelipa dola bilioni 1 ambayo ni kama 2.2 trilioni ya huku kwetu.

wao NBC wana subscriber 480,000 hivyo ukifanya mahesabu rahisi utaona watu wengi wanavyosaidia

-2.2 trilion gawanya kwa miaka 6 hapa utapata kama bilioni 366, hii ndio hela wanayolipa kwa mwaka

-wana watumiaji milioni 480,000 kwa data za mwaka jana ukichukua 2.2 trilion gawanya 480,000 gawanya 12 unapata cost kama 63,500 hivo kwa mwezi

n Hata ukiangalia package zao zinakuwa hivyo hivyo add on ya kama dola 20 hadi 30 kwenye basic package.

huku dstv anatoza hela nyingi sababu ana wateja wachache na pia akitoka nje ya nchi yake anatozwa kodi.
 
Mkuu sema sasa hivi hali imekua ngumu pesa haipatikani kirahisi. Zama zilizopita hata aliyekuwa anapata laki 1 alifunga na kulipia kile cha juu kabisa bila malalamiko. Ile misemo ya pesa imeota matairi ilisahaulika kabisa, sasa inarudi kwa kasi ya unyoya
 
Habari wana jamvi.

Sina nia mbaya na biashara za watu Lakini kwa hili.....wacha nitoe ya moyoni.

Ninapenda sana kuangalia mpira wa miguu hasa wa Uingereza (EPL); tatizo langu ni kuona DStv anang'ang'ania Africa nzima awe yeye........anyway, sio mbaya kwa hilo.

Shida yangu ni gharama zake zisizoendana na uhalisia wa kipato cha wapenda mpira, vijana kama mimi tusio na uwezo wa gharama zake.

Kulipa Tsh 219,000/- kwa mwezi ili hali kipato changu ni Tsh 350,000/- kwa mwezi hilo ni janga kwangu.

Ningependa ujumbe huu uwafikie mabosi wa kampuni ili watambue hilo.

Asante!

NAWASILISHA.
Ndiyo maana local channels aidha bure ama kiasi kidogo, ndiyo maana kuna madaraja kila kona
Third class, second na first, isipokuwa mwendo kasi. Kwa hiyo tumia kulimgana na pale mkono wako wafika. usitamani vy wakubwa wakati wewe uko huko chini. Fight upande sio uombe huruma. Ulimwengu huu hauna huruma!!!
 
Reliable and comfortable transportation.

I differentiate wants and needs.
Wants ni Kama hamu. U can't satisfy it na ni unlimited.

Need ni Kama hitaji muhimu. U can satisfy it. Mfano kuvaa ni hitaji muhimu. So huwezi kosa kuvaa anything.


But ukitaka kuvaa kuendana na fashions mbalimbali inakua want tena na itakubidi uwe na Pesa coz fashions change daily.

Hope nimemjibu jamaa yangu Bulldog ni economic concept ya o'level.
 
Hivi bado mnahangaika na DSTV yenu mpaka leo? mambo siku byebye bwana,nunua PC yako yenye uwezo mkubwa tu,halotel mambo yao safi net yao iko vizuri sana ingia mamahd.com game zote unakula free bila chenga mechi moja mb 300 hivi full hd sasa wewe unalalamika nini kijana?
 
Pia waweza fatilia UERO 2016...kupitia tv za Ufaransa ambazo zinapatikana kwenye Dstv
Mfano...
726....InfoSport
Ambayo inapatikana kwenye kifurushi kidogo kabisaa cha Dstv
 
Mkuu usitamani kupanda ndege wakati nauli yako ni ya Bus !
 
Pia waweza fatilia UERO 2016...kupitia tv za Ufaransa ambazo zinapatikana kwenye Dstv
Mfano...
726....InfoSport
Ambayo inapatikana kwenye kifurushi kidogo kabisaa cha Dstv

Mkuu Codes hiyo Channel 726....InfoSport inaonesha mechi zote au baadhi?
 
Back
Top Bottom