Belo
JF-Expert Member
- Jun 11, 2007
- 12,882
- 10,193
Wazungu ni wabaguzi sana Roy Keane alikuwa anafanya makosa makubwa kuliko hata hayo ya Drogba but siku zote Fergie alikuwa anamtetea,Cantona alienda kupigana na mashabiki still kocha alimtetea ndio maana hata Hidink anamtetea Drogba saanajua umuhimu wake
Mbona Ballack alitaka kumpiga refa? Yule refa nae anastahili kuadhibiwa yeye ndio kasababisha yote hayo
Mbona Ballack alitaka kumpiga refa? Yule refa nae anastahili kuadhibiwa yeye ndio kasababisha yote hayo