Kafara
JF-Expert Member
- Feb 17, 2007
- 1,396
- 411
drogba alionekana kuhuzunika sana alipotolewa na kupumzishwa sasa naona hasira zake ndio akaamua kummalizia refa
badala ya kujiangalia yeye mwenyewe na mchango wake katika ile
mechi.
lakini naamini hata ballack alistahili angalau kadi kwa kitendo chake
alichofanya kwa kumkimbiza refa kama anamkimbiza kibaka flani hivi.
hivi kama mpira ni emotions basi nadhani abidal ilibidi ampige refa
mzinga wa kichwa kwa ile kadi nyekundu. nadhani huyu bwana anastahili
pongezi kwa jinsi alivyo-react baada ya kupewa kadi nyekundu.
badala ya kujiangalia yeye mwenyewe na mchango wake katika ile
mechi.
lakini naamini hata ballack alistahili angalau kadi kwa kitendo chake
alichofanya kwa kumkimbiza refa kama anamkimbiza kibaka flani hivi.
hivi kama mpira ni emotions basi nadhani abidal ilibidi ampige refa
mzinga wa kichwa kwa ile kadi nyekundu. nadhani huyu bwana anastahili
pongezi kwa jinsi alivyo-react baada ya kupewa kadi nyekundu.