driller
JF-Expert Member
- Aug 25, 2011
- 1,116
- 246
jamani hivi hawa watu wanaojuifunza keenye hizi driving schools za hapa jijini..!! Wanajifunza ufundi au wanajifunza udereva..!!? Maana yani gari za driving school za hapa town nyingi zimechoka kwelikweli... Kiasi kwamba mhitimu akitoka hapo akikutana na gari za kisasa inabidi aanze kujifunza upya... Hii si nzuri kabisa..