Fene
JF-Expert Member
- May 4, 2021
- 2,938
- 4,808
Mjaze upepo tu, ikiwa wew umenikimbia
Mjaze upepo tu, ikiwa wew umenikimbia
Siwezi kukukimbia Kibonde km weMjaze upepo tu, ikiwa wew umenikimbia
Kumbe hamna simu hapo!!Hii game nashindwa kucheza kwenye Samsung A15,inakuwa nzito.shida ninini?
Nipo readyUkiwa ready nicheki
0022x search sasa hiviNipo ready
Chap0022X adriz
Kwenye ios ipo!?Dream soccer siku hizi naiona nyepesi sana, siinjoy kucheza hii game tena. Raha ya game upate ushindani mgumu.
Kuna haka kagemu upande wa graphics na commentary sio kazuri kivile ila ni katamu sana kana ugumu fulani, jaribuni mje mtoe maoni.
Kanaitwa PRO SOCCER LEAGUE (PLS)
View attachment 3069929
Hakikisha unaweka professional level
View attachment 3069930
View attachment 3069931
Kazi kwenu wapenda gemu za mpira.
Njoo tena , Mimi mechi ya kwanza huwa sichukulii siriaz huwa namsoma mpinzani hata wenzako walianza hivyo hivyo kilichofuta hawataki kukumbuka tenaNitakuua adriz
Magoli mawili umeshinda wachezaji wakiwa wamesimama haukuketa fair play, mtandao ulipozingua .Ila yote kwa yote umenifunga kihalali mtandao kiujumla ulikuwa vizuri kasoro moment mbili amabazo wachezaji walisimama na wewe ukashinda kwenye moments zote hizo magoli mawili.Nitakuua adriz
Lipo we tafuta utaliona, linatumia majina ya timu tofauti na haya tuliyozoea. Mfano arsenal ni london red, man u ni man red, man city ni man blue n.kKwenye ios ipo!?
Ngoja nichaji simuNitakuua adriz
Msaada kk wa hili game jins ya kulipataDream soccer siku hizi naiona nyepesi sana, siinjoy kucheza hii game tena. Raha ya game upate ushindani mgumu.
Kuna haka kagemu upande wa graphics na commentary sio kazuri kivile ila ni katamu sana kana ugumu fulani, jaribuni mje mtoe maoni.
Kanaitwa PRO SOCCER LEAGUE (PLS)
View attachment 3069929
Hakikisha unaweka professional level
View attachment 3069930
View attachment 3069931
Kazi kwenu wapenda gemu za mpira.
😀😀😀unajitetea nimekupiga 5GMagoli mawili umeshinda wachezaji wakiwa wamesimama haukuketa fair play, mtandao ulipozingua .Ila yote kwa yote umenifunga kihalali mtandao kiujumla ulikuwa vizuri kasoro moment mbili amabazo wachezaji walisimama na wewe ukashinda kwenye moments zote hizo magoli mawili.