Dream League Soccer Special Thread

Dream League Soccer Special Thread

Vp wakuu kwema humu, nmeingia kwenye game baada ya miez mitatu naona kuna updates tena nyngne MB's kibao, nin kipya?
 
Wakuu Kuna Trick Yeyote Kuhusu DLS 2024 Nataka Nichape Sana Watu Hapa Mtaani Kwangu....!! Niongezee Ujuvi Wakuu
 
Habaribya ujenzi wa taifa?? Nimatumaini yangu wengi wenu hamjambo, shida yangu ni moja, nataka niwe nawachezaji wenye black card kikosini je ni njia ipi ya kuniwezesha zoezi hilo ili litimie, Kwa maana Haland pekee ndio ana 87 kwenye kikosi changu. Msaada wa mbinu ya kujaza wachezaji tafadhari
 
Habaribya ujenzi wa taifa?? Nimatumaini yangu wengi wenu hamjambo, shida yangu ni moja, nataka niwe nawachezaji wenye black card kikosini je ni njia ipi ya kuniwezesha zoezi hilo ili litimie, Kwa maana Haland pekee ndio ana 87 kwenye kikosi changu. Msaada wa mbinu ya kujaza wachezaji tafadhari
1. Upgrade Training Facilities mpk Level ya Mwisho. (Hapa utaweza kudevelop level ya legendary Kwa Gems{diamond} 157)

2. Ukiwa unacheza Fanya sajiri za Unwanted Players na kuwauza Kwa kuzingatia Rates (Pendekezo sajiri Beki (defenders) wa rate ya 80 tu)

3. Cheza zile Online tournaments na tiers kwa muda Mwingi kupata Gems (km utachagua kwenda na Njia ya Kwanza ) lkn km kiwango kitakuwa Kdg jichezee Career mode tu ili upate Coins Kwa Ajiri ya njia 2.

4. Punguza Idadi ya wachezaj kwenye Timu yako (Hapa Sasa Unaweza kuwa na wachezaj wa ndani 13/14 then Wengine wawe makipa ilikufikia Idad ya minimum players inayotakiwa. Na ili uweze kufanya vyema katika hii Njia Anza Kwa kudevelop GK {hapa uwe na Kipa wa 2 tu kuanzia} then Kipa wakiwa Maxed ndy ufate maelezo ya Juu hapo katika upunguzaji wa wachezaj wa ndani)

Hizo ndy Njia nyepesi zaid za kufanya Timu yako kuwa Maxed Kwa haraka.
 
Back
Top Bottom