DRC yaahirisha kampeni ya chanjo ya AstraZeneca

DRC yaahirisha kampeni ya chanjo ya AstraZeneca

Mkuu mbona umejiaminisha sana kupita kiasi na ubora wa hizi chanjo kuliko hata hao wataalamu wenyewe? Halafu mbona tahadhari zinatakiwa kuendelea kuchukuliwa hata ukichanjwa kwa hivyo matumizi ya barakoa na sanitizer yataendelea kuwepo tu hivyo huna haja ya kuwaza hayo mambo.
Afu unaongea vitu bila kufatilia sjui. uwe unaptapta kwenye vyombo vya habari vya kimataifa utajifunza mengi. unasema watu wanatakiwa kuendelea kuchukua tahadhar hta baada ya chanjo, jibu ni kwamba sio wte wameshachanjwa - ni mpaka waifikie herd immunity, yani 70% ya watu wakichanjwa, we utaona mwenyewe maisha yao yatarud kama kawaida. ndo maana mwanzon kabsa nikakwambia huwez shindana na sayansi utashindwa tu.
 
Tanzania tunaanza kuona umuhimu wetu
Mkuu, hapa wale wa serikali iagize chanjo naona hapa hawachangii tena. Nisaidie kuwakumbusha kuwa astrazeneca imefika kwa jirani badala ya kuitumia kaiweka pending for a while thinking kn how to
 
Inabidi uelewe kuwa hakuna njia yoyote ya kumaliza ugonjwa wa Covid 19 zaidi ya chanjo. Mi nashangaa unavoonekana kufurahia chanjo kuzuiwa wakati watu wanakufa kila siku kwa corona. Halafu iyo chanjo ya Astrazeneca imeshatolewa kwa zaidi ya watu millioni 17 duniani, na kati yao ni 30 tu ndo wamepata changamoto. Huoni utofauti apo?
Kwanini huko Ulaya na Marekani mafua yanaendelea miaka kibao wakati wanachanjo ya mafua mkuu?
 
Sasa mbona na nyinyi msha_confirm kwamba zinaleta blood clot bila kuleta majibu ya uchunguzi? Kwani haiwezekani hiyo blood clot ikawa imesababishwa na issue nyingine even thou mtu amechanjwa astrazeneca?
Ujerumani na Ufaransa nazo zimeongezeka kwenye list,acha tusubiri uchunguzi.
 
Afu unaongea vitu bila kufatilia sjui. uwe unaptapta kwenye vyombo vya habari vya kimataifa utajifunza mengi. unasema watu wanatakiwa kuendelea kuchukua tahadhar hta baada ya chanjo, jibu ni kwamba sio wte wameshachanjwa - ni mpaka waifikie herd immunity, yani 70% ya watu wakichanjwa, we utaona mwenyewe maisha yao yatarud kama kawaida. ndo maana mwanzon kabsa nikakwambia huwez shindana na sayansi utashindwa tu.
Sasa ndio umeeleza nini cha kunikosoa hapo katika yale niliyosema?
 
Yani wewe ukizungumza mbele ya wasomi utachekwa. Yani kweli kabsa unafurahia chanjo kuzuiwa? unajua ingeokoa wangapi. watu wengi wanakufa kwa Covid 19, na hakuna mbadala wa kuzuia vifo ivyo zaidi ya chanjo. Asee bado upo kwenye giza. Nakusikitia sana.
Kwahiyo Ufaransa na Ujerumani hakuna wasomi na ndio maana nao wamesitisha matumizi ya hizo chanjo hawajui kwamba zingeokoa maisha ya watu wengi?

We dogo sijui unawaza nini kichwani?
 
Maneno ya Museveni baada ya mzigo wa chanjo kufika walitegemea yy ataanza kama mfano.


"Katika hotuba yake usiku wa kuamkia leo, Rais Museveni amesema hajapata chanjo bado kwa kuwa yuko makini na ana ulinzi wa kutosha ". Alisema mke wake, Janet Museveni,pia bado hajapata chanjo hiyo."

Source BBC Swahili.
Nimemuelewa huyu Mzee
 
"Waziri wa Afya Eteni Longondo amesema wameamua kuahirisha tarehe ya uzinduzi wa chanjo hiyo kama hatua ya tahadhari, baada ya nchi nyingine kadhaa kufanya uamuzi kama huo. Waziri huyo amesema tarehe mpya ya uzinduzi wa chanjo hio itatangazwa baada ya uchunguzi wa kiserikali na wa Kimataifa."

Zingatia hapo baada ya uchunguziwa kiserikali na wa Kimataifa.
Hivi unadhani Sisi hatuchunguzi?
 
Mkuu, hapa wale wa serikali iagize chanjo naona hapa hawachangii tena. Nisaidie kuwakumbusha kuwa astrazeneca imefika kwa jirani badala ya kuitumia kaiweka pending for a while thinking kn how to
Hawakujua ni suala la muda tu
 
Back
Top Bottom