Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,262
Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo, Joseph Kabila, hatimaye amemtangaza waziri mkuu mpya, atakayechukua nafasi ya Matata Ponyo
Uteuzi huo unakuja siku chache baada ya Matata Ponyo wa chama tawala kujiuzulu ili kutoa nafasi kwa wapinzani
Rais Kabila amemtangaza Samy Badibanga (pichani katikati) ambaye ni kiongozi kwenye bunge la Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo, kuwa waziri mkuu mpya wa mpito kufuatia makubaliano ya hivi karibuni yaliyotiwa saini kati ya Serikali na vyama vya upinzani nchini DRC
Uteuzi huo unakuja siku chache baada ya Matata Ponyo wa chama tawala kujiuzulu ili kutoa nafasi kwa wapinzani