DRC CONGO KINSHASA

Malyenge

JF-Expert Member
Jan 16, 2012
6,658
3,646
Wakuu kuna mwenye vumbi la DRC anipatie tafadhali. Ni pm kuna laki inakusubiri bika kuhoji.
 
Papa ukuye mbele tusumbulie juu ya vumbi uko na franga ngapi nikupatie vumbi moya tu ya kabambe utapompa biee vya mingi ma sept ma dix ukuye na bibi yako nikupati kama auna na bibi shibiushi juu utabamba babibi babenyewe utapata maprobleme na basoldier bata kudelanjee ukuye na bibi yako nikupatie trois mille kijiko kimoja iko na vumbie nyingene moya ya mkasai hii ni yakurudisha franga kama unampatia bibi franga bale babibi bakujiushisha tunabaita bandumba kama una mpatie ma cent mille dollar atukurudishia mpaka franga yako hii tunaita vumbi ya kurudisha franga tunaushisha deux mille dix-huit hii ni yabiee sana unapata babibi babule kuonja bure papa
 
Back
Top Bottom