George Betram
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 4,021
- 4,913
Ni "mtoto mdogo" tu anaweza kuwataja Kendrick Lamar na Drake kwenye sentensi moja inayohusu ufananisho wa rappers.
Endiwoo
she wanna ask when it got so emptyKendrick ana uandishi kuntu kuliko "new" Drake. Hii kauli inatoka kwa fan wa wote
Yaan kuna watu kama
Travis Scott,post Malone,wale,future sijui design ya kina takashi sijui wanaimbaga nini hata mafans wao naona ni wahuni tu.
Wataendelea kulalamika wanabaguliwa na wazungu hawawezi kusikiliza upuuzi
Mkuu ukiwa namuda mfuatilie Jamaa hatari. Sikiliza Sunflower akiwa na Swae Lee au RockStar ft 21 Savage au mkwajua wa Congratulation akiwa na Quevo au skiliza Circle jamaa nomaaaa