Xavi Hernandez Alcantara
JF-Expert Member
- Oct 19, 2019
- 278
- 280
Nani zaidi kati ya Drake na Kendrick Lamar katika Hip Hop??
Kendrick ni hardcore ndio sababau anazidiwa mauzo na drake ila jamaa mkaliNajiuliza Drake ana fans sana Youtube mbona ana gonga maviews mpaka bilion 1 kwa nyimbo moja(God Plan mfano)
Tofauti na Kendrick Lamar
Ubaguzi na upendeleo nahisi kitu kama hichoNajiuliza Drake ana fans sana Youtube mbona ana gonga maviews mpaka bilion 1 kwa nyimbo moja(God Plan mfano)
Tofauti na Kendrick Lamar
So Lamar anamzidi nini Drake?Kendrick ni hardcore ndio sababau anazidiwa mauzo na drake ila jamaa mkali
Ubaguzi how?Ubaguzi na upendeleo nahisi kitu kama hicho
Kuna siku nilimsikia wale anasema alkua mtaan akakutana na jamaa mmoja mzungu akamwambia iv na wewe unajiita msanii una usanii gani sasa wasanii nikama wakina j.cole yaan Kuna ka ubaguz flan iv kwa wasanii blackUbaguzi how?
Dah kumbeKuna siku nilimsikia wale anasema alkua mtaan akakutana na jamaa mmoja mzungu akamwambia iv na wewe unajiita msanii una usanii gani sasa wasanii nikama wakina j.cole yaan Kuna ka ubaguz flan iv kwa wasanii black
Pia juz kati nilisikia travis nae anasema alisimamishwa na mzungu mmoja iv afu anamwambia yaan wewe ata ukipiga show ndani kwangu siwez kuja kukutazama hata kidogo
Hahaha basi sema drake anauza sana
Kitu ambacho naangalia mimi kwa msanii wa hip-hop ni utunzi na style ya kuflow, na hvyo ndo drake kazidiwaSo Lamar anamzidi nini Drake?
Sawa Mkuu..Huyu Kendrick Namchukuliaga poaKitu ambacho naangalia mimi kwa msanii wa hip-hop ni utunzi na style ya kuflow, na hvyo ndo drake kazidiwa
Travis Scott?? Mbona jamaa anakimbiza sana tena zaid hata ya Kendrick (kimauzo) i dare to sayKuna siku nilimsikia wale anasema alkua mtaan akakutana na jamaa mmoja mzungu akamwambia iv na wewe unajiita msanii una usanii gani sasa wasanii nikama wakina j.cole yaan Kuna ka ubaguz flan iv kwa wasanii black
Pia juz kati nilisikia travis nae anasema alisimamishwa na mzungu mmoja iv afu anamwambia yaan wewe ata ukipiga show ndani kwangu siwez kuja kukutazama hata kidogo
kuna kitu ujue najiuliza yani watu wengi waojua mziki wana kwambia Kendrick ni nyoko kwenye hip hop lkn mauzo anazidiwa na kina Travis DaahTravis Scott?? Mbona jamaa anakimbiza sana tena zaid hata ya Kendrick (kimauzo) i dare to say
umefikiria mbaliSaiv hata county boy anamzid fidq kwa ma viewers
Umefikiri mkuu.Kimziki kendrick anamzidi drake although drake naye akiamuaga kukaza sio wa kubeza....lakini kimauzo drake anamzidi Kendrick
Ni sawa na hapa bongo kina country boy young lunya na chinbiz wanavowazidi tamaduni music kimauzo
Yaan kuna watu kamaKuna siku nilimsikia wale anasema alkua mtaan akakutana na jamaa mmoja mzungu akamwambia iv na wewe unajiita msanii una usanii gani sasa wasanii nikama wakina j.cole yaan Kuna ka ubaguz flan iv kwa wasanii black
Pia juz kati nilisikia travis nae anasema alisimamishwa na mzungu mmoja iv afu anamwambia yaan wewe ata ukipiga show ndani kwangu siwez kuja kukutazama hata kidogo