Nukta5
JF-Expert Member
- Jun 7, 2014
- 1,188
- 1,306
Nilianzishaga thread ya hichi kipindi but sikupata wadau wakutoshaKweli kabisa Kiongozi.
Kumbe na Wewe ulikuwa na Maradhi na hiki Kipindi kama mimi🙂.
Kusema ukweli hiki kilikuwa ni moja ya Kipindi cha Luninga ninachokikubali sana.
Nimefurahi sana, kukutana na Mpenzi mwenzangu wa Kipindi chetu pendwa.
Ngoja nikukumbushe kidogo.
Hapo ndio Wahusika wakuu wamesharudi vacation, wanasubiri kukabidhiwa FUNGUO zao za Mjengo.
WADAU wanaanza,
"Move that BUS"
"Move that BUS"
"Move that BUS"
TY anaingilia kati na kuanza kusema,
BUS DRIVER!
MOOOOOVE THAT BUUUS.
BUS likashasogezwa hiyo CRIB utakayoiona hapo huwezi amini kama ndio ilikuwa MBAVU zako za MBWA.
Kipindi kilikuwa kitamu sana Kiongozi
