George Betram
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 4,021
- 4,909
Lala upumzike,labda akili yako imechoka...Skatai sema kumuweka jcole na kendrick lamar itakua poa zaid
Kwasasa Kendrick yuko kwenye chumba cha peke yake,acha kumshushia heshima..!
Lala upumzike,labda akili yako imechoka...Skatai sema kumuweka jcole na kendrick lamar itakua poa zaid
Ningekua na uwezo wa kukukata makofi hapo ulipo ningefanya hivyo..!Tatizo skuiz Kendrick amekua kama "Mimi mwendawazimu",,Drake ni zaidi ya mwana hip-hop Ni mwanamuziki tena mziki wa biashara
Kipindi kilikua safi sana, namkumbuka bonge flan alikua hana miguu anatumia wheel chair wakamtengenezea nyumba yake ya kiteknolojia hapo hapo wakamletea pete ya uchumba kwa ajili ya mchumba wake na wakafunga ndoa ilikua safi sanaHii inanikumbusha Kipindi cha Luninga cha kuitwa EXTREME MAKEOVER (Home edition).
Nilikuwa mfuatiliaji mzuri sana wa hiki Kipindi.
Kusema ukweli Kipindi hiki ilikuwa kila nikikiangalia nilikuwa napata HUZUNI sana, na SIMANZI
MITOTO YA SIKU HIZI INABOA YAANI HADI DAMU IMECHEMKA UTAMFANANISHAJE HUYO MYAHUDI NA KING KENDRICKAcha kumfananisha Kendrick na mambo ya kijinga..!!!
Me naona Drake na King Kunta ni sawa na Shakur na Biggie!!...Hatuwezi waweka sehemu moja ingawa wanafanya kitu aina moja (hip hop).
Hawa jamaa wanajua hadi kero!
Kendrick has never been overrated he challenge and shape hip hop culture as it is ...he is modern day Tupac shakur thats why his respect is beyond measure...On the other hand drake has been overated due to his jewish origin and also copy catting kanye west flow......Kendrick na Drake hawa madogo wote wako overrated
black panther ni album gods plan ni single kwenye scary hours album....tatizo ndo hapo wabongo tunapotea sana kwe hype hapo kila mtu ataongelea huo mwimbo mmoja wa drake..am sure baada ya miezi mi3 kila mtu atajua single zilizopo ndani ya black panther koz whole album ni clasicHawa watu mi huwa nawackiliza wote maana wote ni wakali
Black Panthers
God's plan
Zote ni nymbo kali
Ubora Wa Drake unajidhihirisha hata kimaslahi mana ana mkwanja zaidi ya mara tatu ya Kendrick,, yaani mziki mzuri, biashara na endowsment za maanaDRAKE BILBOARD HISTORY AMEINGIZA NUMBER 1 MARA 4 NYIMBO ..TOP TEN KAINGIZA NYIMBO 22 WAKATI IN TOTAL AMETOA NYIMBO 160
View attachment 697873
KENDICK LAMAR BILLBOARD HISTORY AMETOA NYIMBO 43 TU ILA NUMBER 1 KAINGIZA 2 NA TOP TEN KAINGIZA SITAView attachment 697874
nisawa na kumfananisha Nash Mc na billnassafadhali ..pumbavu
yaani Kendrick anafananishwa na huyo mbana pua
nisawa na kumfananisha Nash Mc na billnassafadhali ..pumbavu
yaani Kendrick anafananishwa na huyo mbana pua
indeednisawa na kumfananisha Nash Mc na billnass
Kweli kabisa Kiongozi.Kipindi kilikua safi sana, namkumbuka bonge flan alikua hana miguu anatumia wheel chair wakamtengenezea nyumba yake ya kiteknolojia hapo hapo wakamletea pete ya uchumba kwa ajili ya mchumba wake na wakafunga ndoa ilikua safi sana