HOMOSAPIEN
JF-Expert Member
- Mar 31, 2011
- 745
- 273
Mishale imekuwa mingi hivyo kaamua kupotezea na kukaa mbali na siasa
Kigsmboni ya Dar au ya Dodoma ?
Hata kama.........na je kwa nini amekuwa bubu........mwanasiasa muhimu kusikika
Mnh...... Ila hata mie ningependa kujua yupo wapi na afanya nini kwa sasa??
Anaishi Kigamboni Dar
usaliti ni laana mbaya sana ! huyu jamaa elimu yake yote imeishia kwenye kufuta vumbi meza za ccm , kapigika vibaya sana !
asante sana mkuu .Laana ni mbaya sana, nakumbuka maneno yake viwanja vya Mwanga Centre baada ya kuondoka alisema Zitto namfahamu vizuri naye atatoka tu na kuna CCM
Ameolewa
Ni mweyekiti wa CCM MKOA WA KIGOMA