falcon mombasa
JF-Expert Member
- Mar 5, 2015
- 9,213
- 9,334
CCM jiandaeni kuwa chama cha upinzani.tulipowaambia mrekebishe magereza mlipuuzia sasa zamu yenu
Mtu aitwae #Manyerere Jackton ameandika mambo yasiyofanana na chembe ya ukweli kuhusu KM Dk. Slaa.
Bado tuko Ofisini. Kazi zinaendelea.
Hicho alichokiandika labda kama kinatokea kwenye ofisi ya chama kingine anachokijua Manyerere na kwa mtu mwingine tofauti na Dk. Slaa, Katibu Mkuu wa CHADEMA.
Nimuombe Jackton Manyerere, mpiganaji ambaye anapaswa kuwa na heshima yake kwenye tasnia ya habari afanye atimize wajibu wa kitaaluma katika kukusanya na kupasha habari badala ya uzushi na maneno haya yasiyo ya kweli.
Labda kama wameanza tena kufanya Kazi ile ile waliyokuwa mwaka 2010 ambako walimzushia Katibu Mkuu Dk. Slaa kila aina ya uzushi ambao Watanzania waliukataa.
Habari hizi za kuzusha na kutengeneza ndizo zilizotumika pia katika kampeni za mwaka 2005 ambapo hawa wanaozizusha leo mitandaoni walikuwa ndiyo timu ya utawala huu ulioshindwa. Wakimpamba mfalme kuwa amevaa nguo wakati yu mtupu. Kwa kila mapambo kuficha uvundo uliokuwa ndani ambao hatimaye leo unanuka (kushindwa) kila mahali.
Makene
Mtu aitwae #Manyerere Jackton ameandika mambo yasiyofanana na chembe ya ukweli kuhusu KM Dk. Slaa.
Bado tuko Ofisini. Kazi zinaendelea.
Hicho alichokiandika labda kama kinatokea kwenye ofisi ya chama kingine anachokijua Manyerere na kwa mtu mwingine tofauti na Dk. Slaa, Katibu Mkuu wa CHADEMA.
Nimuombe Jackton Manyerere, mpiganaji ambaye anapaswa kuwa na heshima yake kwenye tasnia ya habari afanye atimize wajibu wa kitaaluma katika kukusanya na kupasha habari badala ya uzushi na maneno haya yasiyo ya kweli.
Labda kama wameanza tena kufanya Kazi ile ile waliyokuwa mwaka 2010 ambako walimzushia Katibu Mkuu Dk. Slaa kila aina ya uzushi ambao Watanzania waliukataa.
Habari hizi za kuzusha na kutengeneza ndizo zilizotumika pia katika kampeni za mwaka 2005 ambapo hawa wanaozizusha leo mitandaoni walikuwa ndiyo timu ya utawala huu ulioshindwa. Wakimpamba mfalme kuwa amevaa nguo wakati yu mtupu. Kwa kila mapambo kuficha uvundo uliokuwa ndani ambao hatimaye leo unanuka (kushindwa) kila mahali.
Makene
It ain't over til it's over.dah...naweza kulala sasa
Moyo umetuliaaaaaaaaaaaaaaa LOWASSA Ikulu.....mods mpigeni ban huyu kichwa maji...
Tunataka kauli toka kwa Slaa.
Mtakumbuka nilileta uzi hapa ikimhusu dk. Slaa kuondoka chadema. Nikatukanwa sana. Mekene akadiriki kuniitwa mtu anayeitwa manyerere... kana kwamba hanijui. Sasa wote mlionishambulia kwa matusi na kejeli naomba muwe waungwana. Mniombe radhi. Siku nyingine nikileta taarifa nyeti za aina hiyo muwe na heshima na mchangie kwa staha.
Najua wapo watakaobeza na hata kutukana lakini napata ushujaa wa kuyasema haya. Dk. Slaa usiku huu anaingia makao makuu kukabidhi gari, kadi, walinzi na cheo. Anajitoa CHADEMA. Naomba uzi huu uachwe hapa hapa ili baadaye nihukumiwe kwa haki.
Chanzo: Mimi mwenyewe.
Mtakumbuka nilileta uzi hapa ikimhusu dk. Slaa kuondoka chadema. Nikatukanwa sana. Mekene akadiriki kuniitwa mtu anayeitwa manyerere... kana kwamba hanijui. Sasa wote mlionishambulia kwa matusi na kejeli naomba muwe waungwana. Mniombe radhi. Siku nyingine nikileta taarifa nyeti za aina hiyo muwe na heshima na mchangie kwa staha.
so Manyerere Jackton was right after all....