Dr. W. Slaa anaondoka CHADEMA

Dr. W. Slaa anaondoka CHADEMA

CCM jiandaeni kuwa chama cha upinzani.tulipowaambia mrekebishe magereza mlipuuzia sasa zamu yenu
 
Mtu aitwae #Manyerere Jackton ameandika mambo yasiyofanana na chembe ya ukweli kuhusu KM Dk. Slaa.

Bado tuko Ofisini. Kazi zinaendelea.

Hicho alichokiandika labda kama kinatokea kwenye ofisi ya chama kingine anachokijua Manyerere na kwa mtu mwingine tofauti na Dk. Slaa, Katibu Mkuu wa CHADEMA.

Nimuombe Jackton Manyerere, mpiganaji ambaye anapaswa kuwa na heshima yake kwenye tasnia ya habari afanye atimize wajibu wa kitaaluma katika kukusanya na kupasha habari badala ya uzushi na maneno haya yasiyo ya kweli.

Labda kama wameanza tena kufanya Kazi ile ile waliyokuwa mwaka 2010 ambako walimzushia Katibu Mkuu Dk. Slaa kila aina ya uzushi ambao Watanzania waliukataa.

Habari hizi za kuzusha na kutengeneza ndizo zilizotumika pia katika kampeni za mwaka 2005 ambapo hawa wanaozizusha leo mitandaoni walikuwa ndiyo timu ya utawala huu ulioshindwa. Wakimpamba mfalme kuwa amevaa nguo wakati yu mtupu. Kwa kila mapambo kuficha uvundo uliokuwa ndani ambao hatimaye leo unanuka (kushindwa) kila mahali.

Makene

Makene nyie ndo wazushi,mbona huyo slaa yuko kimya regardless ya hali hii ya sintofahamu kwa muda sasa? angalieni msifiche maradhi mauti itajawaumbua!!!
 
Mtu aitwae #Manyerere Jackton ameandika mambo yasiyofanana na chembe ya ukweli kuhusu KM Dk. Slaa.

Bado tuko Ofisini. Kazi zinaendelea.

Hicho alichokiandika labda kama kinatokea kwenye ofisi ya chama kingine anachokijua Manyerere na kwa mtu mwingine tofauti na Dk. Slaa, Katibu Mkuu wa CHADEMA.

Nimuombe Jackton Manyerere, mpiganaji ambaye anapaswa kuwa na heshima yake kwenye tasnia ya habari afanye atimize wajibu wa kitaaluma katika kukusanya na kupasha habari badala ya uzushi na maneno haya yasiyo ya kweli.

Labda kama wameanza tena kufanya Kazi ile ile waliyokuwa mwaka 2010 ambako walimzushia Katibu Mkuu Dk. Slaa kila aina ya uzushi ambao Watanzania waliukataa.

Habari hizi za kuzusha na kutengeneza ndizo zilizotumika pia katika kampeni za mwaka 2005 ambapo hawa wanaozizusha leo mitandaoni walikuwa ndiyo timu ya utawala huu ulioshindwa. Wakimpamba mfalme kuwa amevaa nguo wakati yu mtupu. Kwa kila mapambo kuficha uvundo uliokuwa ndani ambao hatimaye leo unanuka (kushindwa) kila mahali.

Makene

Mbona unamsemea Dr Slaa huku yeye ni member wa JF kwanini asikanushe mwenyewe au amepigwa marufuku kutumia mitandao baada ya lowasa kuvamia CDM
 
Ahsante Mkuu kwa taarifa. Hii wiki ni ya presha. Hebu Mzee atoke hadhalani atutoe hofu. Maana naye Yeriko Nyerere kaleta bandiko la kutuchanganya zaidi.
 
Moyo umetuliaaaaaaaaaaaaaaa LOWASSA Ikulu.....mods mpigeni ban huyu kichwa maji...
 
Asante baba!! kwani hapa hata kula chakula cha usiku nilikuwa nimeshindwa hadi shemeji yenu anaanza kufoka wee vipi mbona umebadirika ghafla hivyo!! au unazuga umetoka kwa mchepuko!!?. Sasa ngoja nitoe dose sasa,
 
Mtakumbuka nilileta uzi hapa ikimhusu dk. Slaa kuondoka chadema. Nikatukanwa sana. Mekene akadiriki kuniitwa mtu anayeitwa manyerere... kana kwamba hanijui. Sasa wote mlionishambulia kwa matusi na kejeli naomba muwe waungwana. Mniombe radhi. Siku nyingine nikileta taarifa nyeti za aina hiyo muwe na heshima na mchangie kwa staha.
 
Mtakumbuka nilileta uzi hapa ikimhusu dk. Slaa kuondoka chadema. Nikatukanwa sana. Mekene akadiriki kuniitwa mtu anayeitwa manyerere... kana kwamba hanijui. Sasa wote mlionishambulia kwa matusi na kejeli naomba muwe waungwana. Mniombe radhi. Siku nyingine nikileta taarifa nyeti za aina hiyo muwe na heshima na mchangie kwa staha.

Mm binafsi sikuombi radhi!
Uliandika kimbeya mno, utadhani ulikuwa una wania tuzo!
Ulisema siku ile, almost a month now na ukasema Kakabidhi ufunguo wa gari na walinzi! Hadi Juzi tarehe 31 August, 2015, Dr. Slaa kalamba Mshahara wa July na August, na alikuwa bado na gari la Chama la Katibu mkuu na Ulinzi wa Chama! Kati yetu na ww nani Muongo hapa?

Musiwe Waandishi wa Kij.inga kijing.a eti flani katapa matatizo sasa ww huweki Ma.kalio chini ni kusherekea matatizo ya Mwenzio! Unafiki hautakiwi!

Haya ulipewa tuzo kwa kuwa mtu wa kwanza kupost hizo rumours?
 
Najua wapo watakaobeza na hata kutukana lakini napata ushujaa wa kuyasema haya. Dk. Slaa usiku huu anaingia makao makuu kukabidhi gari, kadi, walinzi na cheo. Anajitoa CHADEMA. Naomba uzi huu uachwe hapa hapa ili baadaye nihukumiwe kwa haki.

Chanzo: Mimi mwenyewe.



Mtakumbuka nilileta uzi hapa ikimhusu dk. Slaa kuondoka chadema. Nikatukanwa sana. Mekene akadiriki kuniitwa mtu anayeitwa manyerere... kana kwamba hanijui. Sasa wote mlionishambulia kwa matusi na kejeli naomba muwe waungwana. Mniombe radhi. Siku nyingine nikileta taarifa nyeti za aina hiyo muwe na heshima na mchangie kwa staha.

Hongera sana.

Labda sasa unaweza kufanyia kazi baadhi ya facts hapo juu (gari,nyumba,cheo-mshahara) maana tumemsikia Mwanasheria wa CDM akisema Dr Slaa amepokea mshahara (wa August?) wakati aliachia cheo 30 July 2015, bado anaishi kwenye nyumba ya chama, bado anatumia nyumba ya chama. Ni muhimu sana kupata ushahidi wa mambo haya ili ukweli ujitenge vizuri.

Manaweza kutafiti pia, kiutaratibu katibu (wa CDM) anapoamua kujiuzulu anamwandikia barua au kumjulisha nani? Na hivyo vitu (magari nk) vinapaswa kukabidhiwa kwa nani?
 
Duh hongera kwa kujitahidi kuandika vzr, anyway mm ni 1 wao tuliokudharau sana na kukuona mzushi! Yameshapita hayo, ulikua sawa
 
Back
Top Bottom