Maadhali kadai uislam unamfanya mtu kufuata tamaduni za kiarabu/arabisation,basi ni dhahiri uislam haujui na ni haki yake kuhamia kwenye mizimu ya kiafrika, waarabu walimuandama muhammad wakidai anawaharibia tamaduni zao,wakampiga mpaka vita vya damu na nyama