Asante, it makes me deadly angry kwamba wao wanaondokaga hapa kwa sherehe na press conferences kwenda kutibiwa hata gonorea, mafua na UKIMWI kwa hela zetu wakibeba na vimada wao, wakati hela zetu hizo hizo haziwezi kuwatibu watoto wetu wanaouawa na hao tunaowahudumia, ama kweli sisi ni wapumbavu, sasa kama hili la Ulimboka halitawapeleka mahali pake, basi tulaaniwe. Ameondoka na Mungu atarudi na Mungu na haki ya mungu wataondoka wote wala si kwa ugonjwa tutawatoa kama kumsukuma mlevi, silaha zetu ni za kimungu, wamkumbuke David, hakuhitaji ACP Msangi kumuua Goliath,