KALYOVATIPI
JF-Expert Member
- Aug 11, 2011
- 1,414
- 197
You wil' getwell soon dr.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunamuombe apone ..ili aje atoe ushuhuda ni jinsi gani kifo kilivyo..mana wenyewe wana ona raha sisi ndugu zetu kufa kwa migomo yao isiyo kuwa na tija kwetu wananchi, zaidi ya faida yao ya fedha na siasa zao za chadema .
Mungu ampiganie apate matibabu na aje kutua kweli wa waliohusika!
Source, mimi mwenyewe nipo airport
India..
Hakika kila mtu mwema na afanye maombi kwaajili ya Dr Ulimboka
Ningekushauri kuwa wakati watu wenye akili wanajadili jambo uwe unakaa pembeni na kusoma tuu maana huna hadhi ya kuingilia mijadala yao kwa vile haumo kwenye kundi la wenye akili.Tunamuombe apone ..ili aje atoe ushuhuda ni jinsi gani kifo kilivyo..mana wenyewe wana ona raha sisi ndugu zetu kufa kwa migomo yao isiyo kuwa na tija kwetu wananchi, zaidi ya faida yao ya fedha na siasa zao za chadema .