LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,353
- 3,227
Hakukuwa na haja ya kuanzisha uzi kwa swala dogo kama hilo, bila shaka ukisoma maantiki ya uzi wangu utaona sikuwa eneo la tukio bali nilipewa taarifa tu,
Na kama ijulikanavyo kimang'amuzi, taarifa ya kupewa hubadilika kadri inavyosafiri umbali/idadi ya watu!
Mazingira ya safari ya matibabu ya Dr Ulimboka nayo yalichangia usiri wa wapi anakwenda kutibiwa, maana madokezo ya serikali yalikuwa India huku madaktari wakiwa na siri yao ya Afrika kusini!
Nilipopewa taarifa na chanzo changu kilinieleza kuwa ni India!
Nadhani mapaka hapo umenielewa ndugu, hivyo nawaomba mods iondoeni hii thread haina mafaa kwa nchi,jf na wanajf kwa ujumla!
Taarifa zilizonifikia hivi punde kutoka uwanja wa ndege wa kimataifa wa JK Nyerere Dar, nikuwa kiongozi wa madaktari aliyetekwa na kujeruhiwa na watu wanaohisiwa kwa 99.5% kwa ni serikali (TISS) nikuwa anapelekwa nchini India kwa matibabu
Hivi kwa nini kila mtu na kaugonjwa kake lazima apelekwe India?
kaugonjwa? Kidney failure si kaugonjwa
Hawa madokta waliogoma wameshindwa kweli kumsaidia mwenzao?
Hawajashindwa hawana vifaa.
na kama wameshindwa kumtibu mtu aliyejeruhiwa na kipigo, kuna haki gani kwao kugoma kama matatizo kama hayo tu lazima watu wapelekwe nje ya nchi.
Hapo sijakuelewa sijui una maana gani.
Ni wakati sasa sisi wananchi tuanze kuuliza hawa madokta wetu wanatibu nini sasa kama kila mtu mwenye kauwezo kidogo tu, anaenda India.
Talk for yourself the rest of us know.
Tuliwasomesha ili watusaidie na kama wako kwenye mgomo sasa ina maana hawako busy ya vile,
Tatizo la lugha na pengine sarufi.
basi wamtibu mwenzao kuonyesha uwezo wao na ili kuhalalisha waongezewe posho, kwa nini apelekwe nje?
Upeo wako mdogo sana unasikia hoja zikitolewa lakini hata huelewi maana yake.
Hata mpika chipsi mashuhuri anahitaji vifaa ili apike chipsi zake.
Ukimpa Viazi,kikaango, kijiko, mkaa -kuni au gesi ukashindwa kumpa mafuta na chumvi badala yake ukampa maji na sukari hata ajitahidi vipi hawezi kukaanga chipsi zikawa chipsi.
kila shughuli inahitaji vifaa ufundi pekee bila vifaa ni lawama tu.
Mshahara + Mazingira ya kazi havirizishi. Madaktari wamegoma just like you would expect workers to do. What is the government doing? Does it care?Nakubaliana na wewe. Tumuombee Mungu apone arudi kuwatibu hao aliowaacha hoi katika mgomo aliouanzisha ..."ikiwa atawakuta bado wako hai....! Hypocrisy ...
vitendea kazi hakuna kaka hata vipimo muhimu hakuna na ndio msingi mkuu wa mgomo kuwa mazingira ya kazi yaboreshwe na vipimo vingi ambavyo ndio vinatupeleka india bei yake ni sawa na land cruser V8;kama la nape na chemba...
hilo ndio dai nambari 1 ktk mgomo wanahitaji supana za kufanyia kazi injini wanaweza kutengeneza vizuri sana kuliko nje ya nchi tatizo supana za kufungulia na kuchunguzia injini, au unataka wafungue na meno???
k
vitendea kazi hakuna kaka hata vipimo muhimu hakuna na ndio msingi mkuu wa mgomo kuwa mazingira ya kazi yaboreshwe na vipimo vingi ambavyo ndio vinatupeleka india bei yake ni sawa na land cruser V8;kama la nape na chemba...
hilo ndio dai nambari 1 ktk mgomo wanahitaji supana za kufanyia kazi injini wanaweza kutengeneza vizuri sana kuliko nje ya nchi tatizo supana za kufungulia na kuchunguzia injini, au unataka wafungue na meno???
k
Umechanganya madawa hapa mkuu,Hadha Min Fadhil Rhabi.
Lakini hatuna imani na Madaktari watakaomuhudumia huko nje ya nchi maana wanaweza kupewa maagizo na TISS wasimtibu vizuri ili afie huko na hatimae kupoteza ushahidi wa tuhuma za mauaji zinazowang'ang'ania!