Dr Tulia Ackson Miaka yote aikuwa wapi?

Kwani uyu sio mbunge? Lowassa alifanya yote hayo akiwa Ccm na alikua anakanywa na Nape kila mara.
ambayo alifanya lowassa na Tulia ni mambo mawili tofauti,nadhani bado hujanielewa ama sivyo unachanganya mambo.
kingine dokta tulia ni mbunge wa kuteuliwa wakati eddo alikuwa wa kuchaguliwa.
 
ambayo alifanya lowassa na Tulia ni mambo mawili tofauti,nadhani bado hujanielewa ama sivyo unachanganya mambo.
kingine dokta tulia ni mbunge wa kuteuliwa wakati eddo alikuwa wa kuchaguliwa.

Utofauti wake uko wapi wakati wote wanagawa pesa kwenye vikundi na warsha za kijamii?
 
Utafiti umedhihirisha kwamba Bavicha , ndio taasisi pekee ya vijana inayotikisa ukanda wa Maziwa makuu , Kamanda Mambosasa anawafahamu tangu alipokuwa Dodoma .
Kutikisa kwa kuongeza mzunguko wa hela kwa wananchi au kutikisa kwa Mambo Ya kibwege Kama maandamano, ukuta nk ambayo hayasaidii kuongeza mzunguko wa pesa kwa wananchi?kama ni kwa hayo Mambo Ya kibwege ya maandamano, ukuta nk nikubaliane na wewe kuwa bavicha si tu wanaongoza kwa Mambo ya kibwege Africa mashariki waombe samahani wao wanaongoza duniani
 
Hayo ni mambo yenu ya kifamilia maana umeshaweka wazi kwamba mnapakana vijiji hayatuhusu! Rungwe hata likisimamishwa shati tu la rangi ya kijani ni lazima lipite kwa hiyo nachoona hapa ni vita vya kugombania kiti!
 
Povu lako halitarudisha nyuma juhudi zinazokaribia kuzaa matunda za Bavicha za kuikomboa nchi .
 
hongera zake dr tulia. aendelee kuwafadhiri ili baadae wapanue wigo wa hadhira yao, ili na sisi tulioko mbali tuweze kuzipata kazi zao.
 
Mbinu hii ya kizamani haikubaliki , na naomba kuchukua nafasi hii kuwaasa wana Rungwe kumuogopa huyu mama kama ukoma .
unawaasa ukiwa nyuma ya keyboard na fake ID?
Wapiga kura wa Rungwe,hawaingii humu
 
Wewe kwenu ni jimbo la Nkamia , Mbeya unatafuta nini ?
Kuwa kwangu chemba hainiondolei utanzania wangu.
Bavicha bana eti mnakombia nchi labda nchi ya kwenye atlas,somo la jiografia darasa la 7
 
Mkuu umenikumbusha kisa hiki cha alikwina ambapo Ngunangwa alikuwa akimpiga kijembe Mama Makinda, long time wengi humu hawakuwepo.
 
Dr. Tulia malengo yake ni kiti cha Ndugai. Mara ya mwisho nimefika Tukuyu, alikuwa anakubalika sana kutokana na ufadhili wa ngoma na misaada mahospitalin na mashuleni. Ndiyo maana hivi sasa Ndugai anajifanya IGP kila wakati kutoa amri wabunge wa upinzan wakamatwe, anataka kumridhisha mwenyekiti wa chama.

Kwa jinsi Ndugai alivyo mbabe, mimi naona ni heri Dr. Tulia ashinde akachukua kiti cha Ndugai. Ikumbukwe kuna unyanyapaa flani kwa wabunge wa kuteuliwa na viti maalumu, wabunge wa majimbo wa 'kaheshima' fulani kanakowabeba dhidi ya wale wa kuteuliwa na viti maalumu, hasa kunapokuwa na suala la uteuzi au uchaguzi ndani ya bunge.
 
Licha ya ubunge,hata akija kijijini mkimsalia mimi sintawadharau tu hata kuwakaribia sinta wakaribia,ana roho ya kiburi,hata kasura yake ikakauka kama roho yake ! Eti kanajidai kukaa karibu na Mdee kwenye msiba wa diwani,wakati kanatamani hata Mdee afe !!! wewe tulia ufie bungeni,na kaburi laki liwe Dodoma ila ukifia huku kijijini na kuzikiwa huku,tutakimbia msiba wako na kaburi lako litaota miba ! roho gani hiyo na wewe ni mwanamke??? Kajanga ka ccm tu hako
 

Hakuna mwenye hati miliki na jimbo lolote.
Hakuna muda sahihi wakutangaza nia wala sio kosa kujiandaa miaka hata kumi ili uje kugombea.
Utakuwa mtu wa ajabu km wewe ni mbunge Wa mahala Fulani , ukaona mtu mwingine naye anataka kuja kugombea jimbo hilo hilo. Ukaona Ni maajabu.
Umeanza kumwogopa ???????
 
Dr. Tulia Alikua bonge la lecturer, nakumbuka ndiye aliotuweka sawa kwenye first year orientation ya UDSL maana tulikua very exhausted, I Will always remember her for that,,, na namwomba akimaliza siasa arudi nyumbani UDSL.
Mkuu hata wakati huo alikuwa na kiuno 12 kama sasa au kidogo alikuwa mmwanamke wa kibantu. Maana size ile ya kiuno inapatikana mashariki ya mbali kwa vitoto vya chiniya miaka 10-12 . sijui mume wake huwa anakamatia wapi !! duu bila kuwa na michepuko jamaa angekuwa kala hasara hasa
 
Mbeya haina mwenyekiti, wewe umesema ni mwenyekiti Wa mkoa Wa Mbeya! Sijawahi kuona cheo cha namna aisee
 
Hatukatai yeye kugombea ubunge , bali tunachokataa ni mbinu zake za kujifanya eti leo anafadhili ngoma za jadi , Huku akiwa na mchakato nyuma ya pazia .
 
Nani kakudanganya kwamba Tulia anasaidia ? Huyu anataka asaidiwe yeye ubunge , kingine ni kwamba kwa siasa za kishamba za ccm mpinzani yeyote akianzisha jambo kama hilo mabomu yatarindima kila kona , hata hili hulijui ?
mbunge wa Rungwe Sauli ametulia na anamsapoti Tulia,,,,,,wewe kibendera wa CHADEMA unatoka povu tu.....niko uwanjani Tandale hapa Tkuyu karibu Laxi Mi nikununulie supu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…