SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,707
- 60,760
Chadema siyo tawi la CCM kama ilivyo CUF, Chadema inasimamia mabadiliko ya mfumo mzima wa utawala katika nchi yetu na kamwe siyo kugawana madaraka katika mfumo dhalimu kama uliopo chini ya Chama Cha Mafisadi.To hell with such stupid idea.