JOYCE PAUL
JF-Expert Member
- Jan 8, 2010
- 1,006
- 1,195
Kuna tetesi kuwa DR JK atampa uwaziri ila haijulikani ni wizara gani DR SLAA ambaye alikuwa mgombea wa nafasi ya URAIS kupitia chama cha CHADEMA.kama kweli nampongeza sana MH DR RAIS JK....:israel: