Alfred Daud Pigangoma
JF-Expert Member
- Mar 30, 2009
- 1,833
- 972
Haha haaa acha uongo ww,mbna nimemuona leo Ufipa,mnajificha afu mnasingizia safar sio,ajitokeze atueleze kw nn chama kina pukutika kila kukicha?
Ulitaka akubebe wewe? Dr. Slaa hana mchezo mchafu kama huo wa kuwabeba ma-house boy kama wewe. Nenda kwa Zitto.Dr Slaa amekwenda na Girl friend wake?
Thubutu, hilo jizi
Acha matusi wewe. CCM vipi, hawazini?
Dr Slaa amekwenda na Girl friend wake?
Mkuu mbona hujajibu swali langu?
Kila lakheri Dr, nenda salama na Mungu akurejeahe salama.
Tumemiss sana zile hotuba makini toka kwa mtu makini. Imekuwa heri kwetu hata zile hotuba mbovu za kila mwisho wa mwezi zinazotolewa na Mmiliki wa Viwanda vya porojo hatujazipata otherwise ingekuwa Stress tupu hapa ndani..!!
Nenda Kamanda Mungu akutangulie na akufanikishie safari yako kulingana na mipango yako.
BACK TANGANYIKA
#alfred Daud Pigangoma
Mtu mwingine yeyote anaweza kuwa rais wangu, isipokuwa Dr. slaa!
Upadri ulimshinda....urais Ndo ataweza.....he will never be a president...
Hata Obama anajua huyu ndiye raisi mtarajiwa
Chadema siyo Ccm ziara zote Kinana, sisi tuko site tunapiga mzigo. Tunampa nafasi Dr kufikiria jinsi ya kuongoza nchi ilyoharibiwa na magamba kila sekta!
Dr. slaa jana alianza ziara ya siku 9 chini marekani ambako amealikwa na Gavana wa jimbo la Indiana.
Akiwa huko Dr. slaa atakutana pia na maprofesa mbali mbali na kutoa mihadhara mbalimbali kuhusu maswala ya uwekezaji, uchumi nk. pia Dr. slaa atakutana na viongozi mbali mbali waserikali ya marekani.
Hongera sana Dr. Slaa...
Safari njema kwa President. Mungu na ampe afya njema kwenye uwajibikaji wake uliotukuka. Salamu zetu nyingi kwa First Lady wetu Josephine. Nendeni salama na mrudi salama kwaajili ya kuanza kuwatumia Watanzania ipasavyo hiyo October 2015.