Indume Yene
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 2,950
- 711
Possible mkuu kuna watu walikuwa wanafuata helcopter Pumbavu kabisaa hawa.
Kata ya Mkwawa Iringa watu kama 189 hawakuja kupiga kura kati ya 388 na wengi wao ni vijana hopeless kabsaaaaaaaaaaaaa
Hata JK naye alikuwa anatumia helikopta. Sidhani kama hiyo ni right response..........kuna mchezo umefanywa. Msione Dr. wa Ukweli katulia, anajua anachokifanya. Alijua haya yanakuja, anaelewa zaidi kuliko sie hapa. Tuwe na subira, ukombozi ndo sasa umeanza ndugu yangu.