gimanini
JF-Expert Member
- Jun 20, 2015
- 1,741
- 1,754
Mbunge Wa Musoma Mjini Na Mwenyekiti Wa CHADEMA mkoa wa MARA amewambia wana tarime kuwa wasiwe na wasiwasi kwa kitendo cha dr. slaa kuiacha CHADEMA,kwani hata alipo amua kuacha kazi yake ya upadiri,hakuna siku kanisa la katoliki wameshindwa kuendesha misa kanisani,amesema CHADEMA ni zaidi ya dr.slaa na itaendelea kuwapo,pia amewataka wana tarime kuwapigia kura Rais,wabunge Na Madiwani wa chadema.Leo ndo mgombea ubunge jimbo la tarime mjini amezindua kampeni zake mjini Tarime,miongoni Mwa Watu Walihudhuria ni pamoja na mhe. Ester Bulaya,Vicent Nyerere,na Makamanda Mbalimbali Wa Chadema Mkoa.