PMNBuko
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 967
- 154
Diwani wa Kata ya Kibeta mjini Bukoba amefunga barabara ya wapigakura wake kwa zaidi ya miaka 5 sasa. Kutokana na hali hiyo barabara hiyo imetelekezwa na Manispaa ya Bukoba kwa kuachwa bila matengenezo yoyote.
Wananchi zaidi ya 250 wanaruka mawe na maji kama ngedere bila msaada wa Diwani wao kwa kukosa uongozi wake ambao ungezaa matunda kwa wapigakura hao kupata huduma ya barabara inayopitika.
Rai yangu kwa Dr Slaa, ondoeni mtu huyu maana ameshindwa kutekeleza ahadi zake na anakidhalilisha Chama chetu.
Wananchi zaidi ya 250 wanaruka mawe na maji kama ngedere bila msaada wa Diwani wao kwa kukosa uongozi wake ambao ungezaa matunda kwa wapigakura hao kupata huduma ya barabara inayopitika.
Rai yangu kwa Dr Slaa, ondoeni mtu huyu maana ameshindwa kutekeleza ahadi zake na anakidhalilisha Chama chetu.