Uliwauliza wazazi wako hati yao ya ndoa?Kuchamganya mchanga ndiyo muugano acheni brabraaa leteni hati ya muugano nyie wapumbafuu.
Uliwauliza wazazi wako hati yao ya ndoa?Kuchamganya mchanga ndiyo muugano acheni brabraaa leteni hati ya muugano nyie wapumbafuu.
kaulize kwanza kwanini alikimbia upadre.bila dr slaa kuwamo kwenye nchi hii , wewe , familia yako na majirani zako mngeishauzwa kitambo ! Unatakiwa ushukuru sana .
Unadhani watz wote tuna mawazo mafupi kama wewe? hiyo dhamira ipo wapi ktk huu muungano wa kinyonyaji? kwa hiyo huko kijijini kwenu kuna umeme wa uhakika,maji safi,huduma bora za afya,watoto wanapata elimu bora? Tunataka TANGANYIKA irudi ili ishughurike na hayo moja kwa moja!
dr. slaa ni kiongozi mvumilivu na mzalendo sana ingekuwa mwanasiasa mwingine kaibiwa kura 2010 kama ilivyomtokea nchi isingetawalika
Na wabunge waliokuwa wanagombea mwaka 2010 nao waliibiwa kura? Maana kati ya majimbo yote CHADEMA iliambulia majimbo 23 tu! hii hekaya ya BABU kuibiwa kura haiaminiki hata na mtoto mchanga!
Dr Willibrod slaa ameiomba serikali imuonyeshe hati ya muungano ili autambue muungano.Akiongea na waandishi wa habari leo amesema watanzania tuache unafiki na badala yake hati ya muungano inatakiwa ionyeshwe hadhali ili watanzania wa ione na kama inaitaji kufanyiwa marekebisho basi ifanyiwe.
Akimalizia mahojiano amewauliza waandishi kama kuna miongoni mwao aliyewahi kuiona hati hiyo ya muungano.
Chanzo:star tv.
Inamaana imefishwa?then why?kunani hapa???
uliwauliza wazazi wako hati yao ya ndoa?
kny kamati hati ilikuwepo,sema wakawa wanadai ni hati feki,c unawajua chadomon kila kitu ni kupinga tu!!!!!!!!
Dr Willibrod slaa ameiomba serikali imuonyeshe hati ya muungano ili autambue muungano.Akiongea na waandishi wa habari leo amesema watanzania tuache unafiki na badala yake hati ya muungano inatakiwa ionyeshwe hadhali ili watanzania wa ione na kama inaitaji kufanyiwa marekebisho basi ifanyiwe.
Akimalizia mahojiano amewauliza waandishi kama kuna miongoni mwao aliyewahi kuiona hati hiyo ya muungano.
Chanzo:star tv.
Inamaana imefishwa?then why?kunani hapa???
Hiyo ya kuchapwa kwa kompyuta wewe umeiona wapi?