Umeandika maneno mazito tena ya ujenzi, umeelezea vizuri usanii wa Dr Slaa.
Kwanini asiachie 7.2 M anazolamba sasa hivi za wavuja jasho anasubiri ikulu? Ikulu ya wapi anayoota huyu babu?
Kwanini asiachie 7.2 M anazolamba sasa hivi za wavuja jasho anasubiri ikulu? Ikulu ya wapi anayoota huyu babu?
Wewe lazima utalitafuta tatizo kwa Dr Slaa hakuna siku uliowahi kuzungumza zuri kuhusu huyu Rais mtarajiwa.Sasa sijui 2015 akichukua Nchi utahamia Nchi nyingine?Ila usiwe na shaka 2015 baada ya Dr Slaa kutwaa Ikulu nishtue tu kama utataka kuhamia Nchi nyingine ili nikuchangie pesa ya kununulia one-way ticket na usirudi tena.
Walau ameshasema hata hizo 7.2 m mbona waheshimiwa wanalamba 2m kila wajapo kufungua hata zahanati na hawataki ijulikani? Halafu mishahara mbona mshahara wa raisi wetu unaotokana na kodi za watanzania wote CCM hawataki ujulikane? Ukweli na uwazi wa Mkapa uko wapi hadi leo hii? Acheni siasa za maji taka.
Mkuu, ni rahisi kwa PAUL KAGAME kuwa Rais wa Afrika kuliko Dr SLAA kunusa harufu ya Ikulu
Ile milioni 140 yetu vipi?????
Kinana "mlanguzi na jangili" wa tembo wetu....Katibu Mkuu wa Chama Cha Majanga - CCM analamba ngapi eti ukiachila mbali za biashara haramu ya meno ya tembo na madawa ya kulevya yaliyokamatwa South Africa juzi?