Ile milioni 140 yetu vipi?????
HAMY -D ndugu yangu unapoteza muda wako, DR. Slaa humumuwezi kwa cheapest arguments kama hizi, nakushauri uwe unashirikiana na wenzako wa Lumbumba kuung nguvu walau tengeneza kitu ambacho kinaleta mantiki masikioni mwa watanzania.