Dr. Slaa ndani ya Indianapolis Radio

Dr. Slaa ndani ya Indianapolis Radio

Rtackket

Member
Joined
Sep 24, 2013
Posts
74
Reaction score
373
Katika hali isiyokuwa ya kawaida, Dr. Wilbrod Slaa, katibu mkuu wa Chadema amefanya mahojiano na ya Indianapolis ambayo ndiyo moja ya radio kubwa nchini marekani akisikilizwa na watu zaidi ya millioni 9 huku wengine wakishiriki kwenye mjadala kupitia mitandao ya jamii na simu moja kwa moja.

Kwa asilimia kubwa, wengi wamemkubali na kumuona kama mkombozi, siyo tu wa Tanzania, bali wa bara la Afrika kutokana na jinsi alivyojielezea na pia kuzungumzia mada mbalimbali hasa mikakati yake na chama chake Chadema kumuokoa mtanzania kutokana na ukoloni mamboleo ya CCM. Dr. Slaa amezungumzia kuhusu elimu, kilimo, afya, uwekezaji na fursa nchi zilizopo Tanzania.

Baadae mchana, Dr. Slaa atahojiwa na radio ya jijini Washington DC. Stay tuned

attachment.php

Dr. Slaa akiongozwa
attachment.php

Dr. Slaa akifurahia jambop ndani ya studio
attachment.php

Dr. Slaa akijadiliana na Minority leader wa bunge la Indiana​
 

Attachments

  • Being Led to the Rotunda.jpg
    Being Led to the Rotunda.jpg
    53.6 KB · Views: 2,598
  • Akifafanua jambo.jpg
    Akifafanua jambo.jpg
    49.9 KB · Views: 2,573
  • Minority leader.jpg
    Minority leader.jpg
    59.7 KB · Views: 2,505
mimi mwenyewe namkubali sana dokta wa ukweli slaa si yule wa kupewa j_
 
Akisikilizwa na watu milion 9.................Redio inayowafikia watu............................ katika nchi yenye population ya 300Mil+

Kweli Slaa anakubalika:shocked::shocked::shocked:
 
Aliyeenda akakutana na watanzania wenzake pekee alijifunza nini kipya toka USA,UK??????????Kiongozi lazima uwe multi cultural
 
Dr Slaa is a really matured politician, not only a Tanzanian marked personality BUT an international growing figure who has a new outlook for African politics
 
.......

..."Tanzania
is a great and rich country, with rich culture and rich people at heart. Her people have sent me on a study tour. They have sent me to learn the secrets of your success as a society "....

......Maneno mazito sana haya ukiyaongea lazima "Myamwezi" ajikune kichwa....

Angalizo!!

....sijasema "nimeambiwa"...
 
Jamani huu ni muujiza wa Mungu.Dr Slaa kwa sasa anatamba katika siasa za Dunia.

Wanasiasa wengi wa Marekani wamesema Dr Slaa ni mwanasiasa bora zaidi Afrika mbali ya Nelson Mandela na Julius Nyerere.

Mungu azidi kumbariki huyu mzalendo mwana wa Afrika.
 
Wandugu mlete hizi habari polepole , kwani wanaotarajia kugombea Urais kupitia CCM wanaumia sana mnapoleta habari nzuri kuhusu Dr slaa.
 
safi sana raisi mtarajiwa 2015 viva chadema
 
Pamoja na yote,naomba nichukue fursa hii kukushukuru wewe mleta uzi,maana kazi unayofanya kwa kweli inasitahiri pongezi za kipekee,mwanzo walidhani unatania and now wanajua nini dr anachokifanya,kubali kupokea kajeli zao,dharau,na hata pongeza zao and take it as a challange,we thank you men tena alots.

back to reality: Nazidi kuendelea na kugundua why dr slaa anachukiwa na wanaccm wengi"tofauti na hotuba za baba wa Taifa,rev msigwa na hii ya leo ya dr slaa, cjawahi ona hutuba kali nyingine kama hii,kuna mda nawaza labda hawa viongozi wana hofu ya Mungu ndiyo maana wanaongozwa na ukweli wa changamoto zinazotukabiri?

nways shkrn kwa kazi unayoifanya mpashaji,i salute you
 
hivi huko Marekani wanajua kama jamaa kapora mke wa mtu na anatafuna fedha za ruzuku?
 
.......

..."Tanzania
is a great and rich country, with rich culture and rich people at heart. Her people have sent me on a study tour. They have sent me to learn the secrets of your success as a society "....

......Maneno mazito sana haya ukiyaongea lazima "Myamwezi" ajikune kichwa....

Angalizo!!

....sijasema "nimeambiwa"...

We mkwele atakuambia umelegea kama wa Bagamoyo!!!
 
Hizi breaking news nyingine ni dalili ya Chadema kuishiwa hoja...

What is breaking about this news...
 
Mr President Dr wa ukweli sio wa kuchonga kama wa kwao.
 
Back
Top Bottom