Dr. Slaa na Prof. Lipumba nashauri wahamie ACT-Wazalendo

Dr. Slaa na Prof. Lipumba nashauri wahamie ACT-Wazalendo

analaizi

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2014
Posts
1,351
Reaction score
186
Ili kujenga ushindani wa kimkakati nchini vi vizuri Prof Lipumba na Dr Slaa wahamie ACT
Pia wale wabunge walioanguka NCCR wajiunge na ACT
 
Hata mimi naenda ACT.NASUBIRI HIZI FIGISOFIGISO ZA UKAWA ZIISHE NIENDE HUKO
 
Tuna mambo mawili mpaka sasa
Moja, ni kuendesha chadema asilia ambayo itakuwa chni ya Dr Slaa na
Pili, kuhamia ACT Wazalendo na kuimarisha chama kisawasawa.
Baada ya hapo sasa ndio litatokea anguko kuu la chadema na ukawa mafisadi
 
If wishes were horse everyone could ride, CCM walio wengi wanatamani Chadema ife ACT ipae.Lakini siyo kwamba wana mapenzi na ACT ila inaitwa "divide and rule tactic".

Lakini kwakuwa Mungu ni mwema siku zote bado mtaumbuka tu! wapi Mrema na Cheyo? Zitto will follow
 
ACT wazalendo ni tumaini la watanzania kwa siku zijazo.
 
Acheni upumbavu!!! Hakuna upinzani.. ACT kufanyaje??? Mnafurahia kuishia kuwa wabunge???
 
Ulipo tupo waneimaliza cdm nabinu zao za ki ccmu
 
Zito Kabwe Ni Wa Kulaumiwa Kauwa Upinzani Kigoma Yaani Machali Kapoteza Jimbo Sababu Ya Kwenda Act
 
Sioni impact yao tena hao unaowashauri kuhamia huko unakowashauri kuhamia. Hakuna sababu ya kuchukua njia ya mzunguko kiasi hicho; ni vema wakafuata njia iliyonyooka kuelekea kwenye asili yao.
 
If wishes were horse everyone could ride, CCM walio wengi wanatamani Chadema ife ACT ipae.Lakini siyo kwamba wana mapenzi na ACT ila inaitwa "divide and rule tactic".Lakini kwakuwa Mungu ni mwema siku zote bado mtaumbuka tu! wapi Mrema na Cheyo? Zitto will follow
hamjaanza leo kumuombea mabaya Zitto. lakini ndo hivyo, Zitto is there to stay.
 
Achenii hizo, Kuna waichokwisha ahidiwa na CCM subirini Makufuli aapishwe muone
ACT mkiwakaribisha mamluki mmekwisha
 
Ili kujenga ushindani wa kimkakati nchini vi vizuri Prof Lipumba na Dr Slaa wahamie ACT
Pia wale wabunge walioanguka NCCR wajiunge na ACT
Lipumba ni zuzu na hana mvuto. Bora kidogo Dr Slaa.
 
Back
Top Bottom