Mwanaharakatihuru
JF-Expert Member
- Mar 21, 2012
- 477
- 120
Muda wowote kuanzia leo dr slaa na John Mnyika watajikuta ndani ya sege dansi kwa kudharau mamlaka halali ya jeshi la polisi na Kwasasa wanasakwa vijana kazi wameingia mtaani.
Kulikuwa na ubishi wakamatwe lini ikaonekana ijumaa ndio. Siku nzuri kwani jamaa watajiju hadi juma tatu
Kulikuwa na ubishi wakamatwe lini ikaonekana ijumaa ndio. Siku nzuri kwani jamaa watajiju hadi juma tatu