Mh. Mboye uko wapi?? eti wanaunda timu ya kundaa katiba si Weledi, tunaomba uwachague wako wenye uweledi, alafu kuhusu kususia iliishia wapi. baada ya kukuta tume atetereki pamoja na kutaka kumwondoa pr. Beregu kushindakana mkaishia mitini au mlidhani mnatengeneza katiba ya chadema nini???, alafu kunawana jf hapa mlikuwa mnasapoti mbowe eti berugu yuko kimaslahi. JK tutakukumbuka Daimaaaaaaaaaaaaaaaaaa. mungu akupe maisha marefu kwani kwa busara zako tumewe kupata tume makini ya kutupeleka tunapaotaka,