Speaker
JF-Expert Member
- Aug 12, 2010
- 6,324
- 2,238
"Dk. Slaa (Willibrod – Katibu Mkuu wa Chadema), huwa mnyenyekevu sana kwa Serikali ya CCM.
Juzi hapa alikuwa anaomba kwenda kutibiwa nje ya nchi, alikwenda serikalini kwa unyenyekevu mkubwa sana," alisema Nchemba wakati akihutubia mkutano wa kampeni katika Kata ya Mbuguni jana.
Siku Prof.Lipumba anarudi toka marekani,Dr.Slaa alikuwa anarudi pia toka anakojua mwenyewe.
Kuna uhusiano wowote kati ya maneno ya Nchemba na Safari ya Dr.Slaa?
Kwamba kafulia kiasi kwamba anaomba kutibiwa na serikali?
Mara nyingi safari zake za nje huwa anatoa taarifa,kwanini hii ilikuwa kimya kimya?
Dr.Slaa,toa ufafanuzi.