Hongera sana kwa uchambuzi uliokwenda shule!
Acha ulaghai, kwani mtu kufa ni adhabu!! Huo ni wajibu hata wewe siku yako itafika utakufa usitishe watu hapa. By the way, Mungu gani mnayetumia?
Nalia hakyanan mim nalia na tz yangu
wakati wewe uliyefunikwa ndani ya chungu ukidhani ni ndotoNdoto za alinacha,5000 Cement
Fantastic
Ndoto za alinacha,5000 Cement
Yeah! kuuana na vurugu plus matusi ndio sera za chadema, sishangai.
"Tutazichapa bungeni"-LISSU.
Dr.Slaa anataka kila mwananchi ajenge nyumba yake akili za kimasikini kweli, badala hawaeleze wananchi sera ya Chadema ni ipi kwenye makazi ya raia, duniani kote serikali ndiyo uwa unawajibika kuwajengea wananchi wake nyumba ili waweze kuishi na kulipia kwa bei nafuu.
Dr.Slaa anataka kila mwananchi ajenge nyumba yake akili za kimasikini kweli, badala hawaeleze wananchi sera ya Chadema ni ipi kwenye makazi ya raia, duniani kote serikali ndiyo uwa unawajibika kuwajengea wananchi wake nyumba ili waweze kuishi na kulipia kwa bei nafuu.
Mungu akulinde sana .Naona wewe ndio una akili za kimasikini unapoambiwa mfuko wa cementi bei itakuwa chini haina maana kila Tom, Dick and Harry wajenge nyumba wao wenyewe. You need to be able to manage income and value of expenditure. Hao technicians mnaowasamehe kodi wamejaza mifuko yenu na dola ndio sababu mnawakumbatia. Tanzania ikitaka kupiga hatua jambo la kwanza ni kufuta matumizi ya dola ndani ya nchi. Che nkapa na JK tangu wameingia madarakani wameweza kuuza nyumba za serikali na sio kujenga wezi wakubwa.