Dr. Slaa - marufuku kusafirisha malighafi nje ila products CHADEMA ikiingia Ikulu

Matatizo yote ya kiuchumi katika nchi yetu yanasababishwa na kupuuza uchumi wa viwanda....na kuendekeza biashara na uchuuzi!
 
Ndugu Reagan , kwa kiasi uko sahihi ila mawazo yako ni ya jumla mno.Ili tuende vizuri nikuulize swali dogo. Je! Kuna mbunge anaweza kutekeleza ilani ya chama chake ikiwa rais na mawaziri hawatokani na chama chake? mbunge anaweza kuchangia/kusababisha sheria fulani ibadilike hata kama rais hatokani na chama chake? ukiwa na majibu ya maswali haya utapata concept ya wazo langu.

Kadhalika kwa mfano hap juu nimetoa mfano wa suala la ajira.Nikasema kwa mfano Mtemvu amebuni njia ya kupeleka watu uarabuni, wengine ufugaji nyuki n.k Lema, Msigwa N.k kama samples wa CHADEMA, ilifaa waoneshe mfano katika suala hili la ajira tu kwa kuanzia waeleza kwa muhtasari wao wanafanyaje ili kuwapa nafasi watanzania kulinganisha mambo.Sijui kama umenielewa kidogo?

Mbunge anapeleka watu uarabuni (hii ndio kuwasaidia wananchi wako kwa kujenga uchumi wa nchi nyingine?) .....This is human trafficking,serikali wanatakiwa kuliangalia suala hili....pengine ana maslahi ya kusupply manamba!
 
Hivi na nchi zingine zikiwa na maamuzi kama ya Dr Slaa, je kutakuwa na maendeleo kweli? Hakika kibabu kinazeeka vibaya. Mathalan, viwanda vingi vya kusindika ngano vitakufa kwa maana sisi hatulimi ngano za kutosha.

We chiz kweli..unadhani nchi ka Rwanda wangeshindwa Fanya maamuzi haya...sikwamba hawapendi bali hawana maliasili..unadhani uswis ilipenda kutengeneza saa kama bidhaa kubwa ya biashara...hapana...hawawezi lima sababu nchi ni milima tu..hawana dhahabu za kutosha...hawana katani..we mshamba sana nchi yako haina hata kiwanda cha kutengenza toothpick unakaa mtaani au kwenye sofa nyumbani kwako unajichekesha na kungoja umri uende afu ufe tukuzike..acha mawazo finyu my fellow
 
attachment.php
attachment.php
 
Babu hayo maneno kuwa makini usijefanywa kama bwana Morsi wa Misri. Unawaaminisha watu kwa 100%! Mambo yakigeuka cku ndio utaiona nguvu ya uma halisi.
 
hivi na nchi zingine zikiwa na maamuzi kama ya dr slaa, je kutakuwa na maendeleo kweli? Hakika kibabu kinazeeka vibaya. Mathalan, viwanda vingi vya kusindika ngano vitakufa kwa maana sisi hatulimi ngano za kutosha.
sasa si ndio tulime za kutosha
 
kiukweli jamani , huyu DR SLAA ni kama tunu ya taifa , NINAJIVUNIA SANA HUYU MTU aisee .
 
Masuala ya kiuchumi Dr.Slaa ni mtupu sana tupe mfano nchi gani imeendelea kwa mtindo huo.
Ritz Prof wangu (from Cyprus) wakati ninafanya Masters aliniambia/alituambia kama developing countries msikubali kuuza chochote nje bila ya kuki ADD VALUE! kwa hiyo Dr Slaa yuko sahihi na wachumi wengine! Bidhaa zote mpaka apples toka nje zimesha ongezewa VALUE!!
 
Kwakweli ukiwa cdm bila kua mhongo siasa zinakua ngumu.kwanza hyo picha hapo juu kwa mazingira ya uwanja wa furahisha hakuna kitu kama hicho,pili tarehe hiyo hapo juu slaa hakuwai kua na mkutano eneo tajwa.jaman uongo huu na hz propaganda mpk lini?
 
mzee anasema tu km vile ni rahisi kiasi hicho, kwani ni nani ambaye ataki tuwe tunatengeneza cheni za dhahabu wenyewe, huyu mzee anazeeka vibaya kweli,

Hivi hizi nchi zingine zinzzojaribu wako tofauti sana na sisi? hasa za kiafrika maana hapa mtasingizia technology na skills-human/machine, kwani wengine wana vichwa viwili viwili? acheni hizo
 
Back
Top Bottom