Katika mikutano yake inayoendelea mkoani Kagera mkuu wa msafara wa Ukawa ambaye pia Katibu mkuu wa Chadema Dr W. Slaa amesema waliambiwa na IGP wakati wa kikao cha makatibu wa vyama vinavyounda Ukawa kwamba RPC wa Lindi na Mtwara walijifungia ndani kupata taarifa ya Mama Salma anafanya mikutano kinyume na amri ya kuzuia mikutano ya kisiasa mikoani humo.
"Hawa mapolisi wanashangaza sana, wamefikia hatu hatua ya kutetemeka wanapomuona mama huyu , huyu si mama wa nyumbani tu?" alisema na kuwafanya umati kuangua kicheko huku wengine wakishangilia kwa nguvu. Alisema kitendo cha Mama Salma kuachwa afanye mikutano sehemu iliyozuiliwa ni kitendo cha kuonyesha kwamba kuna watanzania daraja la kwanza na la pili.
Source: Mi mwenyewe katika msafara na sasa tunaingia Ngara.
"Hawa mapolisi wanashangaza sana, wamefikia hatu hatua ya kutetemeka wanapomuona mama huyu , huyu si mama wa nyumbani tu?" alisema na kuwafanya umati kuangua kicheko huku wengine wakishangilia kwa nguvu. Alisema kitendo cha Mama Salma kuachwa afanye mikutano sehemu iliyozuiliwa ni kitendo cha kuonyesha kwamba kuna watanzania daraja la kwanza na la pili.
Source: Mi mwenyewe katika msafara na sasa tunaingia Ngara.